ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 43,054
- 49,742
Afrika Kusini Kuna mfuko maalumu wa Fidia Kwa Wahanga wa Ajali ambapo uliyrngewa Dola 2.5bln lakini kabla ya mwaka huu Kuna Madai yanayofikia Dola Bil.30 kutokana na kukithiri Kwa Ajali.
Hoja yangu kuu ni kwamba ,Kwa hapa Tanzania hivi Kuna Wananchi ambao hufidiwa wakipatwa na Ajali? Maana Huwa nasikia Kuna bila lakini sijawahi ona Serikali ikitoa Elimu Kwa Wananchi wake jinsi ya kupata Haki Yao in case wamejeruhiwa au kufariki kwenye Ajali.
Mwenye kufahamu tunaomba Elimu Ili tuwe aware na mambo haya maana Ajali Kwa Tanzania ni kama donda ndugu.
Hoja yangu kuu ni kwamba ,Kwa hapa Tanzania hivi Kuna Wananchi ambao hufidiwa wakipatwa na Ajali? Maana Huwa nasikia Kuna bila lakini sijawahi ona Serikali ikitoa Elimu Kwa Wananchi wake jinsi ya kupata Haki Yao in case wamejeruhiwa au kufariki kwenye Ajali.
Takwimu zinaonesha kila sekunde 24 kuna mtu anafariki kwa ajali ya barabarani
Umoja wa Mataifa kupitia Shirika la Afya Duniani (WHO) umeeleza kuwa Magonjwa yasiyo ya kuambukiza yanachangia vifo vya watu Milioni 41 kila Mwaka Duniani sawa na 74% ya vifo Ulimwenguni. Hayo yamebainishwa katika Kongamano la Mabalozi wa Usalama Barabarani lililofanyika kwenye Ukumbi wa...
www.jamiiforums.com
Mwenye kufahamu tunaomba Elimu Ili tuwe aware na mambo haya maana Ajali Kwa Tanzania ni kama donda ndugu.