Mlolongo wa Ajali za Barabarani Tanzania 2007-2011

ohh!! mungu wangu, hii ni habari mbaya, ngoja nipige simu home nione kama wako salama

RIP, poleni wafiwa.

Mimi ningeshauri organisations kama hii ya Legal Human Rights wangesaidia familia za waliopoteza maisha kufungua keshi dhidi ya @)mmiliki/wamiliki wa magari hayo ya mankotena, and b) Idara husika na utoaji wa vibali pamoja na wanausalama. Nasema hivi kwa sababu mara nyingi tumeona makontena haya yanakiuka taratibu za usalama. Sasa unless wakubwa hawa wawajibishwe tutazikana kila leo.

Again, RIP na Poleni wafiwa.
 
DAh RIP ! haya makontena huwa nayaogopa sana nikiwa barabarani, magari mengi yanayobeba haya makontena ni mabovu saaaaaaaaaaaaaana yanatisha hayana ubora wa kuitwa GARI
 
mmh nafikiri vyombo vinavyohusika inabidi viwe makini,kama safety measures zote zinafuatwa container linaangukaje, poleni wafiwa wote
 
mmh nafikiri vyombo vinavyohusika inabidi viwe makini,kama safety measures zote zinafuatwa container linaangukaje, poleni wafiwa wote

Bahati mbaya vyombo husika will never be makini. By design wako reactive miaka nenda miaka rudi. Poleni wafiwa. Mungu awajalie moyo wa subira.
 
ENEO HUSIKA NI MAARUFU KWA AJALI ZA KONTENA....(50km within) ma-injinia sugueni vichwa
 
Umakini ni kitu muhimu sana! watanzania tuna dharau sana na vitu muhimu vinavyopelekea majanga na ndio mana tunakwisha jamani!!!!!! Mungu awalaze mahala pema peopponi waliopoeza maisha na walioumia i wish you all a speedy recovery! OMGGGGGG!!!
 
RIP. Majeruhi tayari wameshapelekwa hospitali. Nilizungumza na Kamanda wa Polisi Kinondoni mara baada ya ajali kuomba wapeleke kwa haraka magari ya kuinulia vitu vizito. Tayari Crane imefika eneo la tukio na container husika linaondolewa. Taarifa zaidi badaaye
 
Ajali imetokea eneo la Resort, upande wa kushoto unapotokea ubungo, kwa sasa polisi na 'winch' la kukwamua 'container' wanaendelea na ukwamuaji. Lakini foleni ni kubwa pande zote hakuna magari yanayopita kwenda ubungo wala yanayokwenda mbezi!
 
Huu ni mtazamo wangu tu:

Magari mengi sana Tanzania hayastahili kuwepo barabarani. Mengi yamechoka sana. Yanachafua mazingira na hali ya hewa. Mengi yanatoa moshi mweusi mchafu mchafu hivi unaofanya hewa iwe chafu na kufanya watu wavute na kupumua hewa chafu. Kibaya zaidi mengi ya magari yatembeayo kwenye barabara za Tanzania ni hatari kwa usalama wa watu. Na hii ajali ni mojawapo ya mifano.

Ni mtazamo tu.
 
RIP. Majeruhi tayari wameshapelekwa hospitali. Nilizungumza na Kamanda wa Polisi Kinondoni mara baada ya ajali kuomba wapeleke kwa haraka magari ya kuinulia vitu vizito. Tayari Crane imefika eneo la tukio na container husika linaondolewa. Taarifa zaidi badaaye

Shukrani mkuu! ila pia mkuu kuna umuhimu sana wa kuhakiki road safety measures za hii nchi jamani! haya malori yanatumaliza dah!!
 
Huu ni mtazamo wangu tu:

Magari mengi sana Tanzania hayastahili kuwepo barabarani. Mengi yamechoka sana. Yanachafua mazingira na hali ya hewa. Mengi yanatoa moshi mweusi mchafu mchafu hivi unaofanya hewa iwe chafu na kufanya watu wavute na kupumua hewa chafu. Kibaya zaidi mengi ya magarari yatembeayo kwenye barabara za Tanzania ni hatari kwa usalama wa watu. Na hii ajali ni mojawapo ya mifano.

Ni mtazamo tu.

Mkuu inauma sana haswa wakati unapoona Malori mengi tu yanatembea yakiwa na taa moja au hata kutokuwa na taa kabisa!? magari mengi tu ni mabovu kupindikia ali mradi mwenyenalo nae aseme nina gari! la haula!! na pia madereva wengi hawajui kuendesha magari ila wanalazimisha tu kuingiza magari barabarani lakini hawajui sheria hata moja amini usiamini mkuu, maisha gani haya ya kimtegomtego! even a dog can drive a car but that wont make it a driver!
 
RIP. Majeruhi tayari wameshapelekwa hospitali. Nilizungumza na Kamanda wa Polisi Kinondoni mara baada ya ajali kuomba wapeleke kwa haraka magari ya kuinulia vitu vizito. Tayari Crane imefika eneo la tukio na container husika linaondolewa. Taarifa zaidi badaaye
Wangekuwa viongozi wa chama fulani wasingetuhabarisha vitu kama hivi, nashukuru kwa taarifa mkuu. R.I.P wote waliokufa, majeruhi Mungu awape ahueni ili warejee katika shughuli zao za kila siku. Adhabu kali zitolewe kwa watu wanaosababisha ajali za kizembe.
 
Ningekuwa na uwezo basi ningewafunga trafic officers wote maana wamegeukia daladala tu! Wajinga hawa, nasema kwa uchungu kwa sababu ni mara kibao makontena yamefungwa kwa waya!! Contena la tani 15 LIFUNGWE kwa waya na polisi wanataangalia tu, nenda pale Tazara-Buguruni uone, pale napo yatatuangukia oneday! pumbaf
 
Back
Top Bottom