Mlolongo wa Ajali za Barabarani Tanzania 2007-2011

Mlolongo wa Ajali za Barabarani Tanzania 2007-2011

jaman mbunge wangu halima mdee na wenzake nawapa pole sana Mungu awajalie na awaponye maumivu yote mliyopata
 
Poleni sana waheshimiwa wabunge wa bunge la jamhuri ya muungano! Hivyo mpaka leo bado kuna watu wanaita wabunge wa chadema???, shame on u!

hao ndo watetea haki. Waliobaki hasa wa magamba ni wanyonya nchi waliofanya baba yangu akafa. I hate them
 
Kwani mpaka kufariki ndio waona itakuwa haina baraka ? kama hivyo mali imeharibika , na wao wameumia yaonyesha kabisa hakuna baraka hapo

Kwa nini unalazimisha kuwa safari haina baraka za mwenyezi Mungu wakati unajua fika kuwa ni 'Magamba at Work'. No one will die. You are like Wago the Leopard Killer who insisted in killing Olumba (Remember the Great Ponds), at the end he killed himself.

CCM are killing themselves for fighting with unstopable.
 
kuna watu humu wangekuwa nchi makini wangekuwa wanalipa fidia kila siku na umasikini ungewakumba, vitisho sio dili kabisa hata kama ni mzaa
ila hiyo ya mbunge wa bumbuli, imekaa je data tafadhari


Sasa kama nipo Sikonge, nirude Bongo ipi tena Bandugu?

Au SIKONGE imekuwa masikini sana hadi mnaona haipo Bongo?

Ndiyo maana viongozi wengi Tanzania wanaipishia mbali. Ila sasa ntafanye na huku ndiyo kwetu?

Hahahaaaa, jamaa anatishia NYAU siyo? Nikifika Dar ntamtafuta na ntamletea na Panga kabisa ili AKATE TAMAA....

Mwenzio January Makamba kapigwa marufuku kwenda USA. Wee chezea na tishia watu tu ambao hata huwafahamu.

MODS:
Natangaza hapa moja kwa moja kuwa Gamba Jipya kanitolea VITISHO. Nataka kujua hatua gani naweza kumchukulia kwani hata nikivunja Mguu nikiwa Dar (Bongo), huyu jamaa lazima akamatwe na ahojiwe. Ntaomba muitunze IP yake ili iwe rahisi kumdaka mara muda ukiwadia.
 
Mungu amewajaalia na ni wazima tumshukuru Mungu,kazi iendelee peoples power
 
hii habari ni ya uongo.hakuna mbunge wa cdm aliyepata ajali.mh.kiwelu alienda mbeya jana pamoja na viongozi wengine.pia leo nimeongea nae na amenidhibitishia kuwa hizi habari cyo za kweli.
 
Poleni sana wapigania uhuru wa kweri sio huu uhuru kandamiz.yehova sharoom,yehova jile/ebeneza awasimamie kwenye harakati zenu.
 
Nduguzanguni habarni za asbh!!
wanakwaaya kutoka rwanda wamepata ajali karibu na kahama..habari zaidi tunajaribu kuwasiliana na wanamtandao kujua kama kuna waliomia ama k.....Hope akutakuwa na vifo
Mungu wasaidie wote waliotoka kumtukuza Mungu Dar es salaam
 
Siyo kahama mkuu ni kijiji kimoja kinaitwa Imenya km 7 kutoka Tinde to kahama,wawili walikufa pale pale na wengine wamejeruhiwa vibaya sana.nipo Tinde nitaendelea kuwajuza
 
Siyo kahama mkuu ni kijiji kimoja kinaitwa Imenya km 7 kutoka Tinde to kahama,wawili walikufa pale pale na wengine wamejeruhiwa vibaya sana.nipo Tinde nitaendelea kuwajuza
...Inawezekana Pdidy aliamua kusema kahama akiamini ndio sehemu inayofahamika na wengi kuliko hilo jina la kijiji....Poleni wote mliojeruhiwa...Chanzo cha ajali ni nini?
 
Siyo kahama mkuu ni kijiji kimoja kinaitwa Imenya km 7 kutoka Tinde to kahama,wawili walikufa pale pale na wengine wamejeruhiwa vibaya sana.nipo Tinde nitaendelea kuwajuza


OOH MY gOD maskini Mungu awape roho ya uvumilivu wafiwa wote na walioumia natumaini mmepata msaada kama kuna msaada zaidi unaitajika tafadhali usisite kuwasiliaana especially kama wanandugu kgl wanaitaji kujua yaliowafika..kuna kakangu yuko huko anaweza toa msaada
 
Mpaka saa nne asubuhi walikuwa wamekufa watu 4 na helcopter na ambulance kutoka kigali zimeisha ingia mjini shinyanga kwa ajili ya kuwabebe majeruhi na maiti
 
Kikundi cha muziki wa injili kutoka RWANDA chris ambasadors wamepata ajali njiapanda ya tinde na kahama na watatu kufariki dunia huku wawili wakiwa mahututi waimbaji hao walikuwa wakitoka dar kurekodi albamu yao na leo hii serikali ya Rwanda ilituma ndege kuja kuwachukua majeruhi na maiti ziliondoka leo miongoni mwa waliofariki yupo mtanzania aliyekuwa mkalimani wao CHRIST AMBASADOR wanatamba na albamu zao mbili zenye nyimbo kama DONT SAY TOMMORROW,Fuata nyayo na hapo zamani BWANA ALITOA NA BWANA AMETWAA JINA LAKE LIHIMIDIWE amen!
 
Back
Top Bottom