Mlolongo wa Ajali za Barabarani Tanzania 2007-2011

Mlolongo wa Ajali za Barabarani Tanzania 2007-2011

Wow, hiyo ndiyo selikari wajibifu kwa watu wake. chanzo cha ajali ni nini? tinde mbona pako bomba na pia matuta kibao?
 
Hakika kufa ni lazima na kuishi ni bahati tu! Bwana ametoa na Bwana ametwaa na jina lake lihimidiwe! Amen!!!!
 
Wow, hiyo ndiyo selikari wajibifu kwa watu wake. chanzo cha ajali ni nini? tinde mbona pako bomba na pia matuta kibao?

ni kwamba kuna kama kimlima pale tinde so kulikuwa na lori kubwa linakuja mbele na jingine lilikuwa limepaki ikabidi abane pembeni lakini dereva wa lori akamfata huko huko na kumgonga but kuna kama utata wa the way ilivyotokea wengi wanaamini it wa planned coz huwez kupaki pembeni then mtu badala ya kupita anakuja kugonga
 
Dah!roho imeniuma sana.nikiangalia albamu yao ya mwisho 2010 imirindi u'witeka nafarijika sana.
 
Kikundi cha muziki wa injili kutoka RWANDA chris ambasadors wamepata ajali njiapanda ya tinde na kahama na watatu kufariki dunia huku wawili wakiwa mahututi waimbaji hao walikuwa wakitoka dar kurekodi albamu yao na leo hii serikali ya Rwanda ilituma ndege kuja kuwachukua majeruhi na maiti ziliondoka leo miongoni mwa waliofariki yupo mtanzania aliyekuwa mkalimani wao CHRIST AMBASADOR wanatamba na albamu zao mbili zenye nyimbo kama DONT SAY TOMMORROW,Fuata nyayo na hapo zamani BWANA ALITOA NA BWANA AMETWAA JINA LAKE LIHIMIDIWE amen!

hawakuja kurekodi, walialikwa na kundi la Accacia singers waliokuwa wanazindua video yao ya pili siku ya tarehe 8/5/2011 pale pta sabasaba.
kiukweli inauma sana
 
RIP waimbaji!hawajayaona hata matunda yao kwa album walizorekodi!mungu awarehemu!
 
..............Nadhani sisi tulio hai yatupasa kuchunguza maisha yetu..maana duniani tunapita..
 
Jina la Bwana lihimidiwe!
Good die young... kweli, industry ilikuwa bado inawapenda ila Mungu kawapenda zaidi.
 
Watu watatu wamekufa papo hapo baada ya kuangukiwa na gari lililobeba kontena 'trela' na wengine wapo hawajapata msaada wa haraka.

Mpashaji habari anasema hakuna polisi walowasili eneo la tukio na waendesha pikipiki kadhaa washapoteza maisha (waliokuwa kituoni)

Kwa msaada wa mkuu MATOPE (JF Member) naweka picha hizi:

kimara-ajali.jpg

kimara-ajali1.jpg

ajali-kimara3-1.jpg

ajali-kimara4-1.jpg
 
OMG....this again....RIP wote waliopoteza maisha
 
Jamani!! RIP kwa waliopoteza maisha....pole nyingi kwa waliojeruhiwa!!!Hopefully watapata msaada soon!
 
Hil suala la makontena kwa kweli ni too much now! Hatujifunzi, kuna uzembe ktk uwajibikaji wa baadhi ya wahusika hapo!
Mungu azipumzishe roho za marehemu wote, Amen.
 
Kontena OMG!!!! RIP Kwa wote waliopoteza maisha na walioumia wapone haraka.
 
ohh!! mungu wangu, hii ni habari mbaya, ngoja nipige simu home nione kama wako salama
 
Back
Top Bottom