Poleni sana wafiwa.............
Karibu watu Millioni 1 hufa kila mwaka kutokana na ajali za magari barabarani............na karibu watu milioni 50 kila mwaka hujeruhiwa na wengine kupata vilema vya maisha.............
Suala la Road Safety ni pana sana...........na sisi Watanzania tunalifanyia MZAHA sana......kuanzia Elimu (Driving Schools, Driving Instructors, Drivers and Road Users), Engineering (i.e. Design) na Enforcement (Traffic Police Division, Road Traffic Department/Authority)..........sina hakika kama Viongozi wetu wanajua thamani ya Mtanzania mmoja........pengine hatuna thamani ndio maana si shida sana kwa viongozi wetu wakisikia watu wamekufa kutokana n ajali............mbali ya kuwa binadamu ni resource........pia ni tegemeo la familia husika.......... tunapopoteza resource hii...tunaathiri mambo mengi sana ya kimaendeleo...........
Inasikitisha sana sana.........Wataalamu tunao....lakini hatuwatumii...........
Karibu watu Millioni 1 hufa kila mwaka kutokana na ajali za magari barabarani............na karibu watu milioni 50 kila mwaka hujeruhiwa na wengine kupata vilema vya maisha.............
Suala la Road Safety ni pana sana...........na sisi Watanzania tunalifanyia MZAHA sana......kuanzia Elimu (Driving Schools, Driving Instructors, Drivers and Road Users), Engineering (i.e. Design) na Enforcement (Traffic Police Division, Road Traffic Department/Authority)..........sina hakika kama Viongozi wetu wanajua thamani ya Mtanzania mmoja........pengine hatuna thamani ndio maana si shida sana kwa viongozi wetu wakisikia watu wamekufa kutokana n ajali............mbali ya kuwa binadamu ni resource........pia ni tegemeo la familia husika.......... tunapopoteza resource hii...tunaathiri mambo mengi sana ya kimaendeleo...........
Inasikitisha sana sana.........Wataalamu tunao....lakini hatuwatumii...........