Idimi
JF-Expert Member
- Mar 18, 2007
- 14,971
- 10,465
Nadhani ingekuwa ni kufumaniwa, lazima magazeti ya udaku yangeishupalia sana habari hii, kwani wao ndiyo kazi yao na wana watu wao karibu kila mji, ukizingatia kuwa habari za udaku wa wakubwa huwa zina mashabiki wengi sana.
Nakumbuka Mengi alipofumaniwa, gazeti la Sanifu (sasa halipo) liliandika! Nalaila Kiula alipofumaniwa magazeti kadhaa likiwemo Kasheshe yaliandika! Ditopile Ukiwaona Mzuzuri alipofumaniwa, magazeti yaliandika! Slaa alifumaniwa Dodoma, magazeti yaliandika! Kwa nini yasiandike habari hii iwapo mkuu alifumaniwa, tena wakati wa mwezi mtukufu? Kuhusu dereva ni kwamba, habari zinasema mheshimiwa sana Mudhihir, alikuwa anaendesha yeye mwenyewe hilo shangingi lake, dereva hakuwa kazini, mara mtu akakatiza mbele wakati mheshimiwa yuko katika spidi kubwa, na mkuu akafunga breki za ghafla. Gari ndipo ilipopinduka!
Off-course naungana na wengine kwamba, kwa mtu ambaye amepata ajali mbaya kiasi cha kukatika mkono lazima kuna maeneo mengine mwilini yangekuwa nyang'anyang'a kwa mzinga ule, sio mkono tu.
Aidha tungeona nyuzi kadhaa kichwani ama sehemu nyingine, kwa hiyo huenda ukweli wa kufumaniwa kwa mkuu na mke wa mtu na kukatwa mkono ukawa na mantiki fulani vile!
Lisemwalo lipo!
Nakumbuka Mengi alipofumaniwa, gazeti la Sanifu (sasa halipo) liliandika! Nalaila Kiula alipofumaniwa magazeti kadhaa likiwemo Kasheshe yaliandika! Ditopile Ukiwaona Mzuzuri alipofumaniwa, magazeti yaliandika! Slaa alifumaniwa Dodoma, magazeti yaliandika! Kwa nini yasiandike habari hii iwapo mkuu alifumaniwa, tena wakati wa mwezi mtukufu? Kuhusu dereva ni kwamba, habari zinasema mheshimiwa sana Mudhihir, alikuwa anaendesha yeye mwenyewe hilo shangingi lake, dereva hakuwa kazini, mara mtu akakatiza mbele wakati mheshimiwa yuko katika spidi kubwa, na mkuu akafunga breki za ghafla. Gari ndipo ilipopinduka!
Off-course naungana na wengine kwamba, kwa mtu ambaye amepata ajali mbaya kiasi cha kukatika mkono lazima kuna maeneo mengine mwilini yangekuwa nyang'anyang'a kwa mzinga ule, sio mkono tu.
Aidha tungeona nyuzi kadhaa kichwani ama sehemu nyingine, kwa hiyo huenda ukweli wa kufumaniwa kwa mkuu na mke wa mtu na kukatwa mkono ukawa na mantiki fulani vile!
Lisemwalo lipo!