Naona mlango wa Container uko wazi na ndani kuna moto mkali.
Magunia ya sukari yawakayo moto yako wapi?
Ajali 107 na watu 11 wamepoteza maisha yao ktk muda usiofika miezi sita!..
Yaani adha inazoeleka kiasi kwamba agizo la Waziri mkuu linajengewa sheria za barabarani...
Nina hakika kabisa kama ilivyokuwa agizo la Mitumba kama vazi la dharura, leo miaka 20 imekuwa kawaida kabisa na tena imejenga hekalu east Afrika nzima tunasifika. magonjwa yanayotokana na mavazi hayo hata kama watu wanakufa hayana nafasi kabisa.
Ama kweli ndege inapaa/ Itapaa.