Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu wewe ndio ume cut na ku paste....angalia iliwekwa lini?... 8th September 2007, 08:53 PMNi kweli mshikaji hii habari ya siku nyingi. Mambo ya cut-paste hayo.
Mwanakijiji
Gazeti gani leo limeripoti hiyo habari?
sehemu ilipotoke ajali nilionyeshwa mwaka jana nilipokuwa Lindi kikazi,Ni karibia na mjini na ukiangalia kwa makini si sehemu ambayo ingetokea ajli kubwa sababu ni kwenye kona na kuna lama za barabarani kwamba lazima spidi iwe 50.sual la kujiuliza je Alichukuliwa hatua zipi baada ya kugundulika alikuwa anaendesha gari kwa kasi wakati kibao kinaonesha hairuhusiwi?
Bubu ianonekana unaijua habari hii vizuri,hebu tuelezee mkuuAu alikuwa anafukuzwa???
1. Kwanini alikuwa anaendesha yeye mwenyewe?
2. What are the updates za masuala haya?
Watu saba wamefariki dunia na wengine 64 wajeruhiwa vibaya na baada ya gari walilokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori la mizigo.
Ajali hiyo iliyotokea jana kati ya saa 4.30 na saa tano usiku katika Kijiji cha Utaho,tarafa ya Ihanja,wilaya ya Singida vijijini ililihusisha basi la Adventure lenye namba za usajili T.576 ABL aina ya Scania lililokuwa likisafiri kutoka Dar-es-Salaam kwenda Mwanza kugongana uso na lori la mafuta.