Bwana alitoa na leo ametwa jina lake lihimidiwe na kila goti lipigwe kwake. Roho zao zipumzike kwa amani . Lakini hapo Singida kunanini jamani? mara Basi la Mohamed Trans limewaka moto mara watoto wameuwawa kinyama why? kwanini? tujiulize jamani,ikiwezekana huyo Kamanda wa polisi wa Mkoa kashindwa kazi aachie ngazi,SAA 4.30 USIKU MABASI HAYATAKIWI KUENDELEA NA SAFARI VIPI HILI LILIKUWA LINAENDELEA NA SAFARI KAMA KAWAIDA? Manyoni kuna trafic pale,wameliruhusu vipi kwa muda huo?.