Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,871
- 155,840
Live and let them dieHawa wezi wa kura wakifa ni jambo la kheri sana.
Live and let them dieHawa wezi wa kura wakifa ni jambo la kheri sana.
Hapa penyewe nimerelax 🥂 ndio maana naweza ku commentUjifunze ku relax tu ,watz wengi si unatujua hamnazo
Viol, umetisha sana Mkuu.Hapo anaonekana Giggy Money ,bila shaka watakuwa walilewa wakaanza kupigana madole Kama mwanzo
Kuheshimu familia za watu ni utuWewe unamwona Giggy hafai kuwa memba wa familia yake.
Hahahaha hahahahaDaaah ilibaki kidogo tu nilipuke kwa shangwe.Anyway kesho nayo ni siku
No matter,hata wewe utakufa Tena kifo kibaya Sana kuwaliko unaowatamania wafe,Hawa wezi wa kura wakifa ni jambo la kheri sana.
Bora kuiba kura. Wananenda mbali zaidi kutoa uhai wa watu na uhalifu mwingine.Hawa wezi wa kura wakifa ni jambo la kheri sana.
Anaendesha gari kizembe sana huku anapapasa nyuchi za wanawake.Huyo wa pembeni nimeambiwa ni Giggy! Watu wakipendana hakuna wa kuwatenganisha!!! Labda kifo tu.
View attachment 1892171
Israel Kakosa Penalty, Ila Lazima irudiwe tu Kwa Wasaliti wote waliotumika na Mwendazake kuhujumu UpinzaniJamaa kapiga mzinga Dakawa mkoani Morogoro, ukiangalia maeneo ya Dakawa kuna ajali nyingi kwasababu ya kuovateki kibabeView attachment 1892279
we jamaa bhanaIsrael Kakosa Penalty, Ila Lazima irudiwe tu Kwa Wasaliti wote waliotumika na Mwendazake kuhujumu Upinzani
Sorry for him