Wanabodi nimeona hii nyepesinyepesi niiweke hapa ubaoni; inasemekana mkuu wa 'nji' ameoa mke mdogo hivi karibuni.
Hii imetokea Dar wiki 2 zilizopiata; najua kama kawaida yenu JF mtadai ushahidi lakini walioko Bongo wanalijua hili na wapo walohudhuria 'shughuli' yenyewe.
Hii imetokea Dar wiki 2 zilizopiata; najua kama kawaida yenu JF mtadai ushahidi lakini walioko Bongo wanalijua hili na wapo walohudhuria 'shughuli' yenyewe.