jipange tena kisha rudi.Kwa nini picha nyingine zinaonesha uhalisia?
Tuntemeke ndio wakujipanga,mnatia huruma sana,kuwa watumwa,kutwa kushinda jf kuandika ujinga,sijui amna familia?
jipange tena kisha rudi.Kwa nini picha nyingine zinaonesha uhalisia?
Hivi nyie wote mliohudhuria hamkuwa na kamera,si muweke picha kum support aliyeweka hizi??!!!
Mkutano wote kamera ni hiyo tu iliyoleta hizi??!!!!
Hebu kuweni wanaume bana ngonjera za nini hapa tangu jana! !!!
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...ama-wananchi-wasusia-mapokezi-na-mkutano.html
Watu kama hawa ni kama vile wachawi, wanajaribu kupoteza lengo ili Watanzania waijikomboe. Hata hivyo hawataweza kamwe kwani wapo katika upande wa uovu!
vinginvyo save on ur IPad or IPhone then go to photos app check it on years.... 23 nov 2011...
Hizi akili za kupambana na ukweli ulio wazi!
![]()
Chadema mnatumia nguvu nyingi sana kupambana na Zitto lakini mmeishachelewa.
Nyie ng'ang'anieni kwenye mitandao wakati Kinana anafika mpaka kwa barozi wa nyumba kumi anakunywa nao uji na mihogo. wanaongalia mitandao hawafiki hata % 00000000.1 Mnajidanganya.
Sio saa saba mchana, ni saa saba Usiku. Kwa mujibu wa ushaidi wa Tuntemeke
hee hiki chama sasa majanga, wanaiba mpaka picha
uwiiiiiiii
yelewiiii
buriani,rip.
Katuni (kibonzo) ni mchoro uliobuniwa na mtu kuelezea hisia zake ambazo hazilingani na uhalisia wa mambo
Huu ndiyo mkutano wa Dkt. Slaa leo Kahama mjini ambao umeanza majira ya saa 12.15 jioni ambapo watu wamekuwepo uwanjani tangu saa 8 mchana kama walivyotangaziwa.
![]()
![]()
Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Wilibrod Slaa akiwahutubia wanachi wa mji wa Kamaha na vitongoji vyake, ikiwa ni sehemu ya ziara yake ya kukagua na kuimarisja uhai wa chama katika mikoa ya Shinyanga, Kigoma, Tabora na Singida, uliofanyika kwenye Uwanja wa CDT mjini Kahama jana. (Picha na Joseph Senga)
![]()
Katibu Kuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (chadema), Dk. Willibrod Slaa akiagana na wananchi wa mji wa Kahama baada ya kuhutubia mkutano wa hadhara kwenye Uwanja wa CDT mjini huo jana, ikiwa ni sehemu ya ziara yake ya kuimarisha uhai wa chama katika mikoa ya Shinyanga, Tabora, Kigoma na Singida. (Picha na Joseph Senga)
Acheni ulaghai wapuuzi nyie.
Mkuu Safari_ni_Safari njoo hapa ujionee mambo ya mwaka 2011! Teknolojia huwa haingopi
Tumaini Makene TUNTEMEKE anatoa ushahidi kwamba hizi picha ni za mwaka 2011 kwa maana hiyo umewaongopea watanzania, unasemaje?
dr slaa ndiyo tegemeo pekee la watanzania lililobaki , vijana wengi wana PRICE TAG mgongoni !
Umenena kweli Eliza, I have been in those areas, saa moja usiku utadhani ni saa kumi na mbili au kumi na moja, bado kunakuwa na mwanga kabisa, sasa hawa kenge na vibaraka wa CCM sijui wanamatatizogani huko.Hivi CDM inawahusu nini lakini???Tuwaache na upuuzi wao