UFAFANUZI:
Wana JF tusiwe wepesi kudanganywa na huyu Masalia, napenda nitoe ufafanuzi kuhusu tarehe kama ifuatavyo:
1. Wote tunafahamu kwamba Digital Cameras zina setting ya Tarehe, ukweli ni kwamba kamera aina ya Nikon D7000 iliyotumika kupiga picha hizi ilikuwa na wrong date, kitu ambacho ni cha kawaida kwa most of cameras, unless iwe ipo charged muda wote ili isipoteze kumbu kumbu ya tarehe, pili ni kwamba hiyo tarehe inayoonekana ya 23 November 2011 Dr Slaa hakuwahi kufanya mkutano wowote wa hadhara tarehe hiyo, lakini kubwa zaidi, kama TUNTEMEKE unajaribu kuwashawishi watu waamini kwamba picha hizi ni Fake, basi weka hizo ambazo sio Fake ili watu waone huo ukweli unaong'ang'ania.
2. Kuhusu kutumia program ya Photoshop, hili ni jambo la kawaida sana, wengi wetu huwa tunatumia Photoshop kupunguza dimension ya picha kabla hujai upload kwa sababu picha yenyewe kutoka kwenye camera inakuwa ni kubwa kiasi cha 3.8MB lakini ukipunguza resolution inapungua ukubwa hadi kufikia several kb's.
Narudia tena, weka hizo picha ambazo wewe unaona ni ukweli ili watu wakuamini, usiifanye JF ionekane kuwa kijiwe cha uongo na propaganda za magamba.
![]()
MODS NAOMBA SANA MUANIKE UKWELI HUU,JF INAAMINIKA KUWA NI CHANZO SASAHIHI CHA HABARI,MKUTANO WA DR.SLAA WAJANA PICHA WALIZOWEKA NI UONGO.
ANGALIZO MUHIMU SANA KUHUSU PICHA ZA CHADEMA,
Hawa jamaa wa CHADEMA wameweka picha fake. Just download those pics, save them, and go to PROPERTIES. Utaona kwamba zile picha ni za tarehe 23 Nov mwaka 2011. Inaonekana pia wamejaribu kuedit kwa kutumia PHOTOSHOP ila wameshindwa. Itakuonyesha pale. Bahati nzuri sana kwenye JPG FORMAT ya picha unaweza kuedit vyoooooooote isipokuwa tu tarehe na saa ambapo picha ilipigwa!!
Jamiiforum inawatu wa IT naomba mliangalie hilio,Mkutano wa Slaa haukuwa hivi jana,ni Ulaghai kwa watu
Narudia tena Save Picha hiyo hapo juu kwenye COMPUTER yako then Right Click upate Option ya kuangalia Properties,Nenda kwenye DETAILS Utapata Muda wa PICHA ILIPOCHUKILIWA(TAREHE 23 MWAKA 2011 MWEZI 11) Itakuletea aina ya Camera iliyochukua (NIKON model D7000)
Kweli mkuu Tuntemeke! Hawa jamaa wahuni kweli wanachezea akili za watanzania. Hizo nipicha za 23.11.2011.
Nyie wahafidhina kwa nini mnahadaa watanzania???
Mnadhani kwa uongo huo itawasaidia kitu gani nyie pamoja na Mtei and relatives company????
Umeamua kujitengenezea hiyo window baada ya kuona mbinu zote za kudhoofisha ziara ya Dr Slaa zimeshindikana!
Mtakodisha sana bajaji huko mbeya hadi zimtoe mtu utumbo ndo mtakoma SENZI KABISA!
jipange tena kisha rudi.Kwa nini picha nyingine zinaonesha uhalisia?
Achen ujinga aisee....mnaenda hadi hatua ya kuphotoshop
![]()
MODS NAOMBA SANA MUANIKE UKWELI HUU,JF INAAMINIKA KUWA NI CHANZO SASAHIHI CHA HABARI,MKUTANO WA DR.SLAA WAJANA PICHA WALIZOWEKA NI UONGO.
ANGALIZO MUHIMU SANA KUHUSU PICHA ZA CHADEMA,
Hawa jamaa wa CHADEMA wameweka picha fake. Just download those pics, save them, and go to PROPERTIES. Utaona kwamba zile picha ni za tarehe 23 Nov mwaka 2011. Inaonekana pia wamejaribu kuedit kwa kutumia PHOTOSHOP ila wameshindwa. Itakuonyesha pale. Bahati nzuri sana kwenye JPG FORMAT ya picha unaweza kuedit vyoooooooote isipokuwa tu tarehe na saa ambapo picha ilipigwa!!
Jamiiforum inawatu wa IT naomba mliangalie hilio,Mkutano wa Slaa haukuwa hivi jana,ni Ulaghai kwa watu
Narudia tena Save Picha hiyo hapo juu kwenye COMPUTER yako then Right Click upate Option ya kuangalia Properties,Nenda kwenye DETAILS Utapata Muda wa PICHA ILIPOCHUKILIWA(TAREHE 23 MWAKA 2011 MWEZI 11) Itakuletea aina ya Camera iliyochukua (NIKON model D7000)
Achen ujinga aisee....mnaenda hadi hatua ya kuphotoshop
Acheni ubwege na wendawasimu. Fanya yafuatayo, save picha hizo kwenye computer kisha cheki properties zake utajua ni picha zilizopigwa lini!
Kama mkutano umedoda, umedoda tu. Haikusaidii chochote na wala haitasaidia cdm kwa kudanganya watanzania.
Mikutano yote itadoda hivohivo. Labda aende hukohuko uchagani. Na kama akikosea akatia miguu jimboni kwa Zitto nakwambia ataonge kiha huku akitafuna dagaa wabichi-mteke!
![]()
MODS NAOMBA SANA MUANIKE UKWELI HUU,JF INAAMINIKA KUWA NI CHANZO SASAHIHI CHA HABARI,MKUTANO WA DR.SLAA WAJANA PICHA WALIZOWEKA NI UONGO.
ANGALIZO MUHIMU SANA KUHUSU PICHA ZA CHADEMA,
Hawa jamaa wa CHADEMA wameweka picha fake. Just download those pics, save them, and go to PROPERTIES. Utaona kwamba zile picha ni za tarehe 23 Nov mwaka 2011. Inaonekana pia wamejaribu kuedit kwa kutumia PHOTOSHOP ila wameshindwa. Itakuonyesha pale. Bahati nzuri sana kwenye JPG FORMAT ya picha unaweza kuedit vyoooooooote isipokuwa tu tarehe na saa ambapo picha ilipigwa!!
Jamiiforum inawatu wa IT naomba mliangalie hilio,Mkutano wa Slaa haukuwa hivi jana,ni Ulaghai kwa watu
Narudia tena Save Picha hiyo hapo juu kwenye COMPUTER yako then Right Click upate Option ya kuangalia Properties,Nenda kwenye DETAILS Utapata Muda wa PICHA ILIPOCHUKILIWA(TAREHE 23 MWAKA 2011 MWEZI 11) Itakuletea aina ya Camera iliyochukua (NIKON model D7000)
Sio saa saba mchana, ni saa saba Usiku. Kwa mujibu wa ushaidi wa TuntemekeProgram name: ADOBE [COLOR=#ff000e0]PHOTOSHOP!
[/COLOR]
HIVI UKIIANGALIA HIYO PICHA KWELI IMEPIGWA SAA SABA MCHANA? COME ON!
![]()
mKUU ni saa saba za USIKU...(1.02AM)
Hawa watu wanataka kusema CDM walikuwa wanawanga muda huo nini?
Ukitaka kudanganya watu wengi unahitaji uwe na akili angalau ya common sense tu!..Ukiwa zuzu au mburulaz kama TUNTEMEKE unaadhirika sana!
![]()
MODS NAOMBA SANA MUANIKE UKWELI HUU,JF INAAMINIKA KUWA NI CHANZO SASAHIHI CHA HABARI,MKUTANO WA DR.SLAA WAJANA PICHA WALIZOWEKA NI UONGO.
ANGALIZO MUHIMU SANA KUHUSU PICHA ZA CHADEMA,
Hawa jamaa wa CHADEMA wameweka picha fake. Just download those pics, save them, and go to PROPERTIES. Utaona kwamba zile picha ni za tarehe 23 Nov mwaka 2011. Inaonekana pia wamejaribu kuedit kwa kutumia PHOTOSHOP ila wameshindwa. Itakuonyesha pale. Bahati nzuri sana kwenye JPG FORMAT ya picha unaweza kuedit vyoooooooote isipokuwa tu tarehe na saa ambapo picha ilipigwa!!
Jamiiforum inawatu wa IT naomba mliangalie hilio,Mkutano wa Slaa haukuwa hivi jana,ni Ulaghai kwa watu
Narudia tena Save Picha hiyo hapo juu kwenye COMPUTER yako then Right Click upate Option ya kuangalia Properties,Nenda kwenye DETAILS Utapata Muda wa PICHA ILIPOCHUKILIWA(TAREHE 23 MWAKA 2011 MWEZI 11) Itakuletea aina ya Camera iliyochukua (NIKON model D7000)
Acheni ubwege na wendawasimu. Fanya yafuatayo, save picha hizo kwenye computer kisha cheki properties zake utajua ni picha zilizopigwa lini!
Kama mkutano umedoda, umedoda tu. Haikusaidii chochote na wala haitasaidia cdm kwa kudanganya watanzania.
Mikutano yote itadoda hivohivo. Labda aende hukohuko uchagani. Na kama akikosea akatia miguu jimboni kwa Zitto nakwambia ataonge kiha huku akitafuna dagaa wabichi-mteke!
umesahau kusema pia hiyo picha ni ya sa saba usiku kama inavyoonyesha hapo, sasa kwa nn msiweke picha zenu mnabaki mnaweweseka tu, mkutano wa chadema ulifanyika sa saba ya usiku?Kweli mkuu Tuntemeke! Hawa jamaa wahuni kweli wanachezea akili za watanzania. Hizo nipicha za 23.11.2011.
Nyie wahafidhina kwa nini mnahadaa watanzania???
Mnadhani kwa uongo huo itawasaidia kitu gani nyie pamoja na Mtei and relatives company????
![]()
MODS NAOMBA SANA MUANIKE UKWELI HUU,JF INAAMINIKA KUWA NI CHANZO SASAHIHI CHA HABARI,MKUTANO WA DR.SLAA WAJANA PICHA WALIZOWEKA NI UONGO.
ANGALIZO MUHIMU SANA KUHUSU PICHA ZA CHADEMA,
Hawa jamaa wa CHADEMA wameweka picha fake. Just download those pics, save them, and go to PROPERTIES. Utaona kwamba zile picha ni za tarehe 23 Nov mwaka 2011. Inaonekana pia wamejaribu kuedit kwa kutumia PHOTOSHOP ila wameshindwa. Itakuonyesha pale. Bahati nzuri sana kwenye JPG FORMAT ya picha unaweza kuedit vyoooooooote isipokuwa tu tarehe na saa ambapo picha ilipigwa!!
Jamiiforum inawatu wa IT naomba mliangalie hilio,Mkutano wa Slaa haukuwa hivi jana,ni Ulaghai kwa watu
Narudia tena Save Picha hiyo hapo juu kwenye COMPUTER yako then Right Click upate Option ya kuangalia Properties,Nenda kwenye DETAILS Utapata Muda wa PICHA ILIPOCHUKILIWA(TAREHE 23 MWAKA 2011 MWEZI 11) Itakuletea aina ya Camera iliyochukua (NIKON model D7000)
UFAFANUZI:
Wana JF tusiwe wepesi kudanganywa na huyu Masalia, napenda nitoe ufafanuzi kuhusu tarehe kama ifuatavyo:
1. Wote tunafahamu kwamba Digital Cameras zina setting ya Tarehe, ukweli ni kwamba kamera aina ya Nikon D7000 iliyotumika kupiga picha hizi ilikuwa na wrong date, kitu ambacho ni cha kawaida kwa most of cameras, unless iwe ipo charged muda wote ili isipoteze kumbu kumbu ya tarehe, pili ni kwamba hiyo tarehe inayoonekana ya 23 November 2011 Dr Slaa hakuwahi kufanya mkutano wowote wa hadhara tarehe hiyo, lakini kubwa zaidi, kama TUNTEMEKE unajaribu kuwashawishi watu waamini kwamba picha hizi ni Fake, basi weka hizo ambazo sio Fake ili watu waone huo ukweli unaong'ang'ania.
2. Kuhusu kutumia program ya Photoshop, hili ni jambo la kawaida sana, wengi wetu huwa tunatumia Photoshop kupunguza dimension ya picha kabla hujai upload kwa sababu picha yenyewe kutoka kwenye camera inakuwa ni kubwa kiasi cha 3.8MB lakini ukipunguza resolution inapungua ukubwa hadi kufikia several kb's.
Narudia tena, weka hizo picha ambazo wewe unaona ni ukweli ili watu wakuamini, usiifanye JF ionekane kuwa kijiwe cha uongo na propaganda za magamba.