Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 22,763
- 27,499
WATU WA CCM WAACHE WiVU KWA LUGHA ZAO ZA KUPOTOSHA UMMA NA WATAKAPOKUJA NA PROPAGANDA ZAO ZA UONGO WAPUUZWE,CDM ISONGE MBELE
Haya sasa magamba njooni mpinge tena. Mnasema picha ya zamani? Hii ni leo leo picha na Joseph Senga
Mnahangaika sana ili ionekane CDM kuna bonge la mgawanyiko. Imekula kwenu
weka unazozifahamu wewe mkuu...hapo wajinga mtawakamata kweli, mimi nakaa hapa kahama hakuna kitu kama hicho, slaa kaangukia pua
kwa msaada wasioelewa anachosema mtanzania
save picha kwenye computer yako kisha upload sehemu husika kupitia link hiii hapa chini.
utapata taarifa za lini picha hizi zimepigwa.
chadema mlianza vizuri ila huu upuuzi mnaoendelea nao mnatukatisha tamaa watanzania tulioanza kupata matumaini ya CCM kupat areal challenger.E
Einstein said you can not solve problems using same level of thinking that created them. Chadema hapa mnakosea.Tunafahamu hamna capacity in terms of wahamsiashaji na waendeshaji,ila si jambo zuri mkaruhusu wapuuzi wawafanyie mambo yenu.
EXIF Data Viewer
Kama pamoja na propaganda chafu zote za chama tawala kwa kusaidiamda na magazeti yao na redio na tv, bado wameshindwa kuwashawishi Watanzania, basi tambua kwamba mageuzi makubwa yanaisubiri nchi hii muda si mrefu.
Big up cdm.
Nakala: Simiyu Yetu
naona wamejitahidi kuedit picha tatu tu,ndo kusema silaa hatembei na wapiga picha wake siku hizi?Haya sasa magamba njooni mpinge tena. Mnasema picha ya zamani? Hii ni leo leo picha na Joseph Senga
Mnahangaika sana ili ionekane CDM kuna bonge la mgawanyiko. Imekula kwenu
AIBUUUUUUUUUUU YA MWAKA DR.SLAA,MKUTANO WA KAHAMA WABUMA AAMUA KUFOJI PICHA HII HAPA CHINI ILI KUDANGANYA WATANZANIA.Haya sasa magamba njooni mpinge tena. Mnasema picha ya zamani? Hii ni leo leo picha na Joseph Senga
Mnahangaika sana ili ionekane CDM kuna bonge la mgawanyiko. Imekula kwenu