Mkutano wa Dkt. Slaa mjini Kahama - Dec 4, 2013

Mkutano wa Dkt. Slaa mjini Kahama - Dec 4, 2013

AIBUUUUUUUUUUU YA MWAKA DR.SLAA,MKUTANO WA KAHAMA WABUMA AAMUA KUFOJI PICHA HII HAPA CHINI ILI KUDANGANYA WATANZANIA.
KWISHA HABARI YAKO CHADEMAAAAAAAAAAA,YAANI TUMAINI MAKENEN ANATUMIA PICHA ZA MWAKA 20133 TARE 23 MWEZI 11
WATANZANIAAAA AIBUUU KWA CHADEMA,FUATA MAELEKEZO HAYA HAPA KUGUNDUA NAMNA SLAA ALIVYOCHUJAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA

ANGALIZO MUHIMU SANA KUHUSU PICHA ZA CHADEMA,

Hawa jamaa wa CHADEMA wameweka picha fake. Just download those pics, save them, and go to PROPERTIES. Utaona kwamba zile picha ni za tarehe 23 Nov mwaka 2011. Inaonekana pia wamejaribu kuedit kwa kutumia PHOTOSHOP ila wameshindwa. Itakuonyesha pale. Bahati nzuri sana kwenye JPG FORMAT ya picha unaweza kuedit vyoooooooote isipokuwa tu tarehe na saa ambapo picha ilipigwa!!
Jamiiforum inawatu wa IT naomba mliangalie hilio,Mkutano wa Slaa haukuwa hivi jana,ni Ulaghai kwa watu

Narudia tena Save Picha hiyo hapo juu kwenye COMPUTER yako then Right Click upate Option ya kuangalia Properties,Nenda kwenye DETAILS Utapata Muda wa PICHA ILIPOCHUKILIWA(TAREHE 23 MWAKA 2011 MWEZI 11) Itakuletea aina ya Camera iliyochukua (NIKON model D7000)
Bwana Gamba mbona tangu jana mnapiga propaganda tuuu? Wekeni picha zenu mnazodai dr alihutubia watu 20,
 
Kurugenzi ya Habari
===>Mkifanya hivi kila wakati mtakuwa mnafanya mambo ya maana sana, pamoja na shughuli zenu nyingi sana lakini taarifa kwenye vyombo vya habari na mitandao ya kijamii ni muhimu sana hasa katika kipindi hiki
===>Msiishie kutuma picha hapa JF tu,hata kwenye website yenu,blog na pia page yenu ya facebook ambayo ina watazamaji wengi sana.
===>Kazi nzuri sana, CDM Hongereni sana.
 
Last edited by a moderator:
Kurugenzi ya Habari
===>Mkifanya hivi kila wakati mtakuwa mnafanya mambo ya maana sana, pamoja na shughuli zenu nyingi sana lakini taarifa kwenye vyombo vya habari na mitandao ya kijamii ni muhimu sana hasa katika kipindi hiki
===>Msiishie kutuma picha hapa JF tu,hata kwenye website yenu,blog na pia page yenu ya facebook ambayo ina watazamaji wengi sana.
===>Kazi nzuri sana, CDM Hongereni sana.
Nyie ng'ang'anieni kwenye mitandao wakati Kinana anafika mpaka kwa barozi wa nyumba kumi anakunywa nao uji na mihogo. wanaongalia mitandao hawafiki hata % 00000000.1 Mnajidanganya.


 
Kulingana na viongozi wa wilaya , wamesema Mkutano ulikuwa mkubwa sana huku kwetu tunasema " Obhusisi eitaka'
 
kwa msaada wasioelewa anachosema mtanzania

save picha kwenye computer yako kisha upload sehemu husika kupitia link hiii hapa chini.

utapata taarifa za lini picha hizi zimepigwa.

chadema mlianza vizuri ila huu upuuzi mnaoendelea nao mnatukatisha tamaa watanzania tulioanza kupata matumaini ya CCM kupat areal challenger.E

Einstein said you can not solve problems using same level of thinking that created them. Chadema hapa mnakosea.Tunafahamu hamna capacity in terms of wahamsiashaji na waendeshaji,ila si jambo zuri mkaruhusu wapuuzi wawafanyie mambo yenu.

EXIF Data Viewer

Acha kuweweseka,wanaosema picha sio watuwekee zao walizopiga,vinginevyo tutaona ni majungu tu! wekeni za kwenu na si kusema sio zenyewe wakati hukuwepo eneo la tukio na hata kahama penyewe hujawahi fika.
 
Hongera Mkuu wa Chama, Hii ni imani tosha kuwa Chadema hapendwi mtu ni Sera.
 
attachment.php


MODS NAOMBA SANA MUANIKE UKWELI HUU,JF INAAMINIKA KUWA NI CHANZO SASAHIHI CHA HABARI,MKUTANO WA DR.SLAA WAJANA PICHA WALIZOWEKA NI UONGO.
ANGALIZO MUHIMU SANA KUHUSU PICHA ZA CHADEMA,

Hawa jamaa wa CHADEMA wameweka picha fake. Just download those pics, save them, and go to PROPERTIES. Utaona kwamba zile picha ni za tarehe 23 Nov mwaka 2011. Inaonekana pia wamejaribu kuedit kwa kutumia PHOTOSHOP ila wameshindwa. Itakuonyesha pale. Bahati nzuri sana kwenye JPG FORMAT ya picha unaweza kuedit vyoooooooote isipokuwa tu tarehe na saa ambapo picha ilipigwa!!
Jamiiforum inawatu wa IT naomba mliangalie hilio,Mkutano wa Slaa haukuwa hivi jana,ni Ulaghai kwa watu

Narudia tena Save Picha hiyo hapo juu kwenye COMPUTER yako then Right Click upate Option ya kuangalia Properties,Nenda kwenye DETAILS Utapata Muda wa PICHA ILIPOCHUKILIWA(TAREHE 23 MWAKA 2011 MWEZI 11) Itakuletea aina ya Camera iliyochukua (NIKON model D7000)
Swala la Muda kuwa ni saa 1:02 am hilo si sababu kwakuwa Mwenye CAMERA yawezekana hakurekebisha muda,lakini Ukweli utabaki pale pale kuwa picha nizauongo,Ikumbukwe kuwa hata ww kwenye simu yako usiposeti Muda na ukaangalia kwenye Misscal au Dial call zako utakuta muda wa uongo.Hivyo swala la Muda ni mwenye CAMERA hakurekebisha
 
vinginvyo save on ur IPad or IPhone then go to photos app check it on years.... 23 nov 2011...

Hizi akili za kupambana na ukweli ulio wazi!

attachment.php
wameshaumbuka ha ha ha ha HA HA HA HA HA HA sasa mbona munauficha ukweli?ZZK CDM kaikamata pabaya na lazima mumrudishe mwaka huu tuendelee kushabikia,tatizo lenu chadema hamna sera mbali na vurugu na vijana wengi tunawapenda watu humo CDM kwahiyo wakihama tu tunahama nao cc Ritz, ZerMarcopolo ,Pasco , MSALANI ,FaizaFoxy
 
Almost all new digital cameras use the EXIF annotation, storing information on the image such as shutter speed, exposure compensation, F number, what metering system was used, if a flash was used, ISO number, date and time the image was taken, whitebalance, auxiliary lenses that were used and resolution. Some images may even store GPS information so you can easily see where the images were taken!
source:EXIF Data Viewer

View attachment 124907

Baadhi ya maelezo ya picha ya muda yanaonyesha kuwa :
Exif IFD

Exposure Time
1/100
F Number
5
Exposure Program

Not Defined
ISO
400
Exif _0x8830
2
Exif Version
0230

Date Time Original

2011:11:23 00:45:57
Create Date
2011:11:23 00:45:57
===>Ukiangalia muda ambao picha imepigwa na uhalisia wa picha haviendani kabisa,muda unaoonyeshwa kuwa picha imepigwa inaonyesha ni saa sita na dakika arobaini na tano usiku (00:45) je picha hii itakuwa imepigwa muda huo kweli?
===>Kwa hiyo hapa kifupi inawezekana camera iliyotumika ikawa hairekebishwa muda (time setting),wahusika Kurugenzi ya Habari wanaweza wakaja na majibu ya kutosheleza kuhusiana na hili lakini inawezekana kabisa picha hizi zikawa ni za tukio husika na tarehe husika kama walivyotuma watoa mada (uzi).
 
Nyie ng'ang'anieni kwenye mitandao wakati Kinana anafika mpaka kwa barozi wa nyumba kumi anakunywa nao uji na mihogo. wanaongalia mitandao hawafiki hata % 00000000.1 Mnajidanganya.



ha ha ha ha sure 100% ,CDM ni chama cha digitali teh teh wakiangalia tu popularity JF humu wakuu wameshashiba
 
Uongo haudumu. Utawadanganya watu apa jf lakini katika uhakisia chadema imekufa
 
mtaweweseka sana magamba mwaka huu.leteni picha zenu hapa si alikuwepo tuntemeke na ndiye mtu wa kwanza kuleta porojo hapa jf ile jana? mwambieni huyo gamba mwenzenu atuwekee hapa tuzione!
 
Alafu ukishalijua hilo!? Ndo Chadema imesambaratika Tanzania nzima?
Angaikaneni na mikutano ya Chadema, huku tunamuondoa MM na chama kibakie salama.
 
UFAFANUZI:

Wana JF tusiwe wepesi kudanganywa na huyu Masalia, napenda nitoe ufafanuzi kuhusu tarehe kama ifuatavyo:

1. Wote tunafahamu kwamba Digital Cameras zina setting ya Tarehe, ukweli ni kwamba kamera aina ya Nikon D7000 iliyotumika kupiga picha hizi ilikuwa na wrong date, kitu ambacho ni cha kawaida kwa most of cameras, unless iwe ipo charged muda wote ili isipoteze kumbu kumbu ya tarehe, pili ni kwamba hiyo tarehe inayoonekana ya 23 November 2011 Dr Slaa hakuwahi kufanya mkutano wowote wa hadhara tarehe hiyo, lakini kubwa zaidi, kama TUNTEMEKE unajaribu kuwashawishi watu waamini kwamba picha hizi ni Fake, basi weka hizo ambazo sio Fake ili watu waone huo ukweli unaong'ang'ania.

2. Kuhusu kutumia program ya Photoshop, hili ni jambo la kawaida sana, wengi wetu huwa tunatumia Photoshop kupunguza dimension ya picha kabla hujai upload kwa sababu picha yenyewe kutoka kwenye camera inakuwa ni kubwa kiasi cha 3.8MB lakini ukipunguza resolution inapungua ukubwa hadi kufikia several kb's.

Narudia tena, weka hizo picha ambazo wewe unaona ni ukweli ili watu wakuamini, usiifanye JF ionekane kuwa kijiwe cha uongo na propaganda za magamba.
 
Back
Top Bottom