Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 141,520
- 284,004
mkuu usihangaike hiyo mizimu inayoitwa TUNTEMEKE , NI MAPEPO , hiyo ID INATUMIWA KAMA CHOO CHA BAR !umeambiwa mkutano ulichelewa kuanza, wangeweka picha ya mama ako?
mkuu usihangaike hiyo mizimu inayoitwa TUNTEMEKE , NI MAPEPO , hiyo ID INATUMIWA KAMA CHOO CHA BAR !umeambiwa mkutano ulichelewa kuanza, wangeweka picha ya mama ako?
kuna taarifa kuwa kuna magari kutoka shinyanga mjini zimeleta watu
Maomivu ni makali sana kwa kundi la Magamba na vibaraka wake. Nakumbuka zamani mtoto akifukuzwa shule anatamani shule yote ipotee ili apate la kujisifia. Ila hayo huwa hayatokei. Hakuna maarafu kuliko taasisi. Somo hilo.
Kajifunze kwanza kuandika.Halafu uweke picha zako za ukweli.watu wamepotosha ukweli na kuweka picha za mikutano ya zamani. kikuu mimi nilikuwepo mkutanoni na hakukuwa na watu kama ilivyozoeleka. tuache uongo makene.
Mheshimiwa Kurugenzi wa Habari hii picha si ya ukweli na MODs naomba muwemnahakiki hizi picha otherwise intergrity yenu itakuwa questionable. Kwanza naomba nimuulize mheshimiwa Kurugenzi wa Habari ni wapi Kahama kuna minazi maana sijawahi kuiona nikiwa kahama. Naomba ufafanuzi.
Pili hili ghorofa la orange hapo ni kama vile temeke but I could be wrong ila nilishawahi kuliona maeneo hayo au Yombo ila naomba uniambie hilo ghorofa liko mitaa gani kahama nitapita kupatafuta nina safari ya kwenda huko ila silikumbuki kuwepo kahama mjini.
Tuanzie na hayo kwanza halafu nitakuja na mengine baadae......
watu wamepotosha ukweli na kuweka picha za mikutano ya zamani. kikuu mimi nilikuwepo mkutanoni na hakukuwa na watu kama ilivyozoeleka. tuache uongo makene.