nitonye
JF-Expert Member
- Dec 18, 2011
- 7,349
- 3,908
Kwa hiyo kama picha za mwaka 2011 nisiseme. Si watu watuonyeshe za jana? Kama ni uongo wakanushe
Acha upofu angalia na mda ambao ni saa saba usiku na hilo unasemaje?
Kwa hiyo kama picha za mwaka 2011 nisiseme. Si watu watuonyeshe za jana? Kama ni uongo wakanushe
vinginvyo save on ur IPad or IPhone then go to photos app check it on years.... 23 nov 2011...
Hizi akili za kupambana na ukweli ulio wazi!
![]()
omarilyas n mwekunduDate and Time (Original)
2011:11:23 01:02:37
Date and Time (Digitized)
2011:11:23 01:02:37+03:00
Picha zinaonekana zimepigwa saa 6 usiku je ni kweli na ndivyo unavyotaka kutuaminisha? hiyo camera inaonekana haikuwa imerekebishwa na utakuwa unatokwa povu bure maskini gamba!
Program name: ADOBE PHOTOSHOP!
HIVI UKIIANGALIA HIYO PICHA KWELI IMEPIGWA SAA SABA MCHANA? COME ON!
![]()
UTANG'ANG'ANIA SN![]()
View attachment 124907
Baadhi ya maelezo ya picha ya muda yanaonyesha kuwa :
===>Ukiangalia muda ambao picha imepigwa na uhalisia wa picha haviendani kabisa,muda unaoonyeshwa kuwa picha imepigwa inaonyesha ni saa sita na dakika arobaini na tano usiku (00:45) je picha hii itakuwa imepigwa muda huo kweli?
===>Kwa hiyo hapa kifupi inawezekana camera iliyotumika ikawa hairekebishwa muda (time setting),wahusika Kurugenzi ya Habari wanaweza wakaja na majibu ya kutosheleza kuhusiana na hili lakini inawezekana kabisa picha hizi zikawa ni za tukio husika na tarehe husika kama walivyotuma watoa mada (uzi).
![]()
MODS NAOMBA SANA MUANIKE UKWELI HUU,JF INAAMINIKA KUWA NI CHANZO SASAHIHI CHA HABARI,MKUTANO WA DR.SLAA WAJANA PICHA WALIZOWEKA NI UONGO.
ANGALIZO MUHIMU SANA KUHUSU PICHA ZA CHADEMA,
Hawa jamaa wa CHADEMA wameweka picha fake. Just download those pics, save them, and go to PROPERTIES. Utaona kwamba zile picha ni za tarehe 23 Nov mwaka 2011. Inaonekana pia wamejaribu kuedit kwa kutumia PHOTOSHOP ila wameshindwa. Itakuonyesha pale. Bahati nzuri sana kwenye JPG FORMAT ya picha unaweza kuedit vyoooooooote isipokuwa tu tarehe na saa ambapo picha ilipigwa!!
Jamiiforum inawatu wa IT naomba mliangalie hilio,Mkutano wa Slaa haukuwa hivi jana,ni Ulaghai kwa watu
Narudia tena Save Picha hiyo hapo juu kwenye COMPUTER yako then Right Click upate Option ya kuangalia Properties,Nenda kwenye DETAILS Utapata Muda wa PICHA ILIPOCHUKILIWA(TAREHE 23 MWAKA 2011 MWEZI 11) Itakuletea aina ya Camera iliyochukua (NIKON model D7000)
unakaaa nyagwa weyeee
kurugenzi ya chadema itaitisha press conference nadhani ili kuitolea ufanunuzi picha hii kwani imeingia kwa bahati mbaya.Ufafanuzi:
Acheni ulaghai wapuuzi nyie.
![]()
MODS NAOMBA SANA MUANIKE UKWELI HUU,JF INAAMINIKA KUWA NI CHANZO SASAHIHI CHA HABARI,MKUTANO WA DR.SLAA WAJANA PICHA WALIZOWEKA NI UONGO.
ANGALIZO MUHIMU SANA KUHUSU PICHA ZA CHADEMA,
Hawa jamaa wa CHADEMA wameweka picha fake. Just download those pics, save them, and go to PROPERTIES. Utaona kwamba zile picha ni za tarehe 23 Nov mwaka 2011. Inaonekana pia wamejaribu kuedit kwa kutumia PHOTOSHOP ila wameshindwa. Itakuonyesha pale. Bahati nzuri sana kwenye JPG FORMAT ya picha unaweza kuedit vyoooooooote isipokuwa tu tarehe na saa ambapo picha ilipigwa!!
Jamiiforum inawatu wa IT naomba mliangalie hilio,Mkutano wa Slaa haukuwa hivi jana,ni Ulaghai kwa watu
Narudia tena Save Picha hiyo hapo juu kwenye COMPUTER yako then Right Click upate Option ya kuangalia Properties,Nenda kwenye DETAILS Utapata Muda wa PICHA ILIPOCHUKILIWA(TAREHE 23 MWAKA 2011 MWEZI 11) Itakuletea aina ya Camera iliyochukua (NIKON model D7000)
Huyu tuntemeke ni kichaa kama vichaa wengine wa kawaida kabisa. Hicho anachokisema mbona hakipo? Mie niko Kahama na jana nimeudhulia mkutano huo hizi picha ni za kweli na ni za mkutano wa jana ambao mimi binafsi niliuudhulia. Mods ebu toeni upuuzi wa huyu mpuuzi hapa.
Picha zilizowekwa na 'Kurugenzi ya Habari'' ya CHADEMA zilipigwa mwaka 2011 tarehe 23 Nov. Just download those pics and look at the properties. Inaonyesha pia wamejaribu kuedit kwa kutumia photoshop, ila wameshindwa kuedit tarehe.
Hii ni AIBU kubwa. Sikutegemea kwamba itafika siku CHADEMA yetu ifanye yaleyale waliyokuwa wanafanya CCM mwaka 2010. I am interested kuona picha halisi za kilichotokea Kahama
![]()
mods naomba sana muanike ukweli huu,jf inaaminika kuwa ni chanzo sasahihi cha habari,mkutano wa dr.slaa wajana picha walizoweka ni uongo.
Angalizo muhimu sana kuhusu picha za chadema,
hawa jamaa wa chadema wameweka picha fake. Just download those pics, save them, and go to properties. Utaona kwamba zile picha ni za tarehe 23 nov mwaka 2011. Inaonekana pia wamejaribu kuedit kwa kutumia photoshop ila wameshindwa. Itakuonyesha pale. Bahati nzuri sana kwenye jpg format ya picha unaweza kuedit vyoooooooote isipokuwa tu tarehe na saa ambapo picha ilipigwa!!
jamiiforum inawatu wa it naomba mliangalie hilio,mkutano wa slaa haukuwa hivi jana,ni ulaghai kwa watu
narudia tena save picha hiyo hapo juu kwenye computer yako then right click upate option ya kuangalia properties,nenda kwenye details utapata muda wa picha ilipochukiliwa(tarehe 23 mwaka 2011 mwezi 11) itakuletea aina ya camera iliyochukua (nikon model d7000)
Program name: ADOBE PHOTOSHOP!
HIVI UKIIANGALIA HIYO PICHA KWELI IMEPIGWA SAA SABA MCHANA? COME ON!
![]()