Mkutano wa Dkt. Slaa mjini Kahama - Dec 4, 2013

Mkutano wa Dkt. Slaa mjini Kahama - Dec 4, 2013

Mimi nipo huku kahama, hakuna picha kama hizi,watu walikuwa bize na waliofika wameleta zomea zomea hadi polisi wamekiokoa kibabu! Acheni kuleta picha feki, weka video!

Hakika umeaibika vibaya sana...
 
Mh tarehe kama ilivyo kwa muda inawezekana vyote havikurekebishwa. So hapa hamna hoja ni jambo rahisi kwa wewe kuedit picha zako na zikaweza kidhi matwakwa yako ili tukuamini.

Mnarudia makosa yaleyale ya mkakati au waraka mm wa kuchafua wengine ilikupata madaraka, mmeshindwa na shame on you!
huyo muheshiwa mwambie alete za kwake zisizokuwa na watu
 
Asante CHADEMA

Muhimu sana wanachama tukumbuke Chama ndiyo nguzo, inayohitaji watu thabiti kukisimamia.
jipu la muda mrefu, hatimaye limetumbuliwa, ingawa maumivu yatakuwepo, lakini ndiyo mwanzo wa kupona.
Umaarufu wa mtu, hautakivuruga CHAMA tena.....
CDM - PEOPLEZZZZ
 
AIBUUUUUUUUUUU YA MWAKA DR.SLAA,MKUTANO WA KAHAMA WABUMA AAMUA KUFOJI PICHA HII HAPA CHINI ILI KUDANGANYA WATANZANIA.
KWISHA HABARI YAKO CHADEMAAAAAAAAAAA,YAANI TUMAINI MAKENEN ANATUMIA PICHA ZA MWAKA 20133 TARE 23 MWEZI 11
WATANZANIAAAA AIBUUU KWA CHADEMA,FUATA MAELEKEZO HAYA HAPA KUGUNDUA NAMNA SLAA ALIVYOCHUJAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA

ANGALIZO MUHIMU SANA KUHUSU PICHA ZA CHADEMA,

Hawa jamaa wa CHADEMA wameweka picha fake. Just download those pics, save them, and go to PROPERTIES. Utaona kwamba zile picha ni za tarehe 23 Nov mwaka 2011. Inaonekana pia wamejaribu kuedit kwa kutumia PHOTOSHOP ila wameshindwa. Itakuonyesha pale. Bahati nzuri sana kwenye JPG FORMAT ya picha unaweza kuedit vyoooooooote isipokuwa tu tarehe na saa ambapo picha ilipigwa!!
Jamiiforum inawatu wa IT naomba mliangalie hilio,Mkutano wa Slaa haukuwa hivi jana,ni Ulaghai kwa watu

Narudia tena Save Picha hiyo hapo juu kwenye COMPUTER yako then Right Click upate Option ya kuangalia Properties,Nenda kwenye DETAILS Utapata Muda wa PICHA ILIPOCHUKILIWA(TAREHE 23 MWAKA 2011 MWEZI 11) Itakuletea aina ya Camera iliyochukua (NIKON model D7000)

Hahaahaha sema na leo KIGOMA ni ya 2005? acha uchawi wewe mtaaibika vibaya.
 
Kwanini sasa cdm wanahangaika na picha za uongo?

Acheni kubabaisha waTz bana, mnavyohangaika hapa usiku na mchana kumtetea huyu yuda wa cdm aka zzk kama mngekuwa na picha ya hayo mnayotaka tuamini kutokea huko kahama mngeshaziweka. Niwashauri ni vizuri mkaanza mkakati wa what next baada ya jamaa kuvuliwa uwanachama. Kwani kama uongozi wa cdm utafuata mtiririko wa maoni na mawazo ya wengi yanavyo endelea hadi sasa,
definitely jamaa sio mwanachama tena ni suala la muda tu.
 
attachment.php


MODS NAOMBA SANA MUANIKE UKWELI HUU,JF INAAMINIKA KUWA NI CHANZO SASAHIHI CHA HABARI,MKUTANO WA DR.SLAA WAJANA PICHA WALIZOWEKA NI UONGO.
ANGALIZO MUHIMU SANA KUHUSU PICHA ZA CHADEMA,

Hawa jamaa wa CHADEMA wameweka picha fake. Just download those pics, save them, and go to PROPERTIES. Utaona kwamba zile picha ni za tarehe 23 Nov mwaka 2011. Inaonekana pia wamejaribu kuedit kwa kutumia PHOTOSHOP ila wameshindwa. Itakuonyesha pale. Bahati nzuri sana kwenye JPG FORMAT ya picha unaweza kuedit vyoooooooote isipokuwa tu tarehe na saa ambapo picha ilipigwa!!
Jamiiforum inawatu wa IT naomba mliangalie hilio,Mkutano wa Slaa haukuwa hivi jana,ni Ulaghai kwa watu

Narudia tena Save Picha hiyo hapo juu kwenye COMPUTER yako then Right Click upate Option ya kuangalia Properties,Nenda kwenye DETAILS Utapata Muda wa PICHA ILIPOCHUKILIWA(TAREHE 23 MWAKA 2011 MWEZI 11) Itakuletea aina ya Camera iliyochukua (NIKON model D7000)
Swala la Muda kuwa ni saa 1:02 am hilo si sababu kwakuwa Mwenye CAMERA yawezekana hakurekebisha muda,lakini Ukweli utabaki pale pale kuwa picha nizauongo,Ikumbukwe kuwa hata ww kwenye simu yako usiposeti Muda na ukaangalia kwenye Misscal au Dial call zako utakuta muda wa uongo.Hivyo swala la Muda ni mwenye CAMERA hakurekebisha

Acha wehu wewe.....hata mimi kma sijawezeshaa time stamp na kuona picture ikiwa na time ya nyuma huwa sikumbuki seti time.


Camera na Simu zirecet huwa zinarudi date ilipotengenezwa.NA watu huwa hawakumbuki sana set time ya camera km hawataki activate time stamp ili picture iwe na time printed on the picture.

km una nokia ya bei rahisi..ito ebetri halafu rudisha, halafu ktk camera reset everything halafu angalia time yake.Watu wasiojua tumia camera huamua reset.

Hiyo photoshop umeweka wewe ktk computer yangu siioni, na hata kama picture igekuwa edited na photoshop ktk si format ya photoshop si rahishi ona hilo.
 
unajua umbali wakutoka shy town mpaka kahama? Tumia kichwa wewe... Ni mbali sanaa. Ukweli ndio huo ngoja na mwandiga watajaa kama leo.

Shy town to Kahama kuna umbali gani wakati nauli ni Buku mbili?

Body without head
 
Nashindwa kuelewa hapa!!
Hii inaonyesha wazi kitu kinachotufukarisha Watanzania. Yaani huyu mtu anajiita tuntemeke inaelekea anashirikiana na kundi la wasaliti kuleta habari zinazopingana na hizi zilizotolewa na chanzo cha kuaminika ambacho ni Kurugenzi ya Habari.
Kama kweli mtu anaamua kutumia nguvu yote hii kupotosha ukweli si ndi yale yale ya kukubali Benki ya NBC igawiwe bure kwa makaburu huku Watanzania wakiwa na uwezo zaidi ya 95% ya kuiendesha wenyewe!? Hawa watu ni hatari sana na kama ni suala la 'maamuzi magumu' inapaswa yaongezewe hata nguvu kukomesha huu uendawazimu.
 
Inasikitisha sana. Sasa kwa nini wadanganye??? Nimethibitisha kama hizi picha ni za uongo kupitia simu yangu ya mkononi.. Huu sasa ni unafiki mbaya zaidi
 
Uongo wa kimataifa... Picha za mwaka 2011 zimetumika kuwafanya watanzania wajinga... imethibitika ni jinsi gani ni watunzi hodari wa mambo ya uongo.
 
Inasikitisha sana. Sasa kwa nini wadanganye??? Nimethibitisha kama hizi picha ni za uongo kupitia simu yangu ya mkononi.. Huu sasa ni unafiki mbaya zaidi

wanafiki tunawajua ata kwakuwaangalia kwa maneno yao hawa jamaa ni wanafiki sana kaka ata mwenezi wao nchemba ukimwangalia machoni ni mnafiki sana yule pamoja na mropokaji wao.
 
wanafiki tunawajua ata kwakuwaangalia kwa maneno yao hawa jamaa ni wanafiki sana kaka ata mwenezi wao nchemba ukimwangalia machoni ni mnafiki sana yule pamoja na mropokaji wao.

Hujanielewa?? Nimechukua hizi picha ndugu nimezidownload kwenye simu, Nikabonyeza sehemu ya option kisha nikabonyeza sehemu ya details maelezo yaliyokuja yanaonyesha zimepigwa mwaka 2011. Inasikitisha sana ..
 
Acha wehu wewe.....hata mimi kma sijawezeshaa time stamp na kuona picture ikiwa na time ya nyuma huwa sikumbuki seti time.


Camera na Simu zirecet huwa zinarudi date ilipotengenezwa.NA watu huwa hawakumbuki sana set time ya camera km hawataki activate time stamp ili picture iwe na time printed on the picture.

km una nokia ya bei rahisi..ito ebetri halafu rudisha, halafu ktk camera reset everything halafu angalia time yake.Watu wasiojua tumia camera huamua reset.

Hiyo photoshop umeweka wewe ktk computer yangu siioni, na hata kama picture igekuwa edited na photoshop ktk si format ya photoshop si rahishi ona hilo.

Ndugu hizi picha siyo za 2013 kweli ni za 2011... Nimetumia simu yangu kujionea mwenyewe hayo... Kurugenzi ya habari mnabidi mlitolee ufafanuzi hili.
 
Ndugu hizi picha siyo za 2013 kweli ni za 2011... Nimetumia simu yangu kujionea mwenyewe hayo... Kurugenzi ya habari mnabidi mlitolee ufafanuzi hili.

NImekuambia hata mimi niliwahi piga picture bla kucheki time ktk camera ya mtu juzi tuu,nikaishia kuwa na picture si tuu kuwa zimeonyesh kupigwa 2008,ila hata ktk picture juu pakawa na timestamp ya 2008.Niliishia pata hasira tuu na si kupata events hizo tena.
 
omarilyas n mwekundu
===>Pamoja na ushabiki lakini kuna wakati lazima akili itumike japo kidogo tu,hii sio picha ya saa saba mchana,ni picha ambayo imechukuliwa muda wa jioni sana.kwa hiyo kuna tatizo la muda wa camera iliochukua picha hizo.

Mbona nilikiri hilo baada ya kuiona hilo la muda na kuliacha hadi nitakapopata taarifa nyingine zinazoelezea mkanganyiko huu.
 
Back
Top Bottom