Mkutano wa Dkt. Slaa mjini Kahama - Dec 4, 2013

Mkutano wa Dkt. Slaa mjini Kahama - Dec 4, 2013

Hao wanaosema hizo picha ni feki, inabidi walete zao, manake wanasema walikuwepo kwenye mkutano....Mbona ni kitu kigogo sana hicho kukifanya kama watu wanasema ukweli !?

Kwenye kamera unaset tarehe na muda kama unavyofanya kwenye computer. Hicho unachosema wewe hakina maana yeyote kwa sababu hiyo tarehe inaweza kubadilishwa na kuwekwa yeyote mtu anayotaka halafu likapigwa gazeti la leo kama unavyosuggest na ukaletewa original picha kama unavyoitaka....na haitaprove chochote !

Wanaosema ni feki walete zao otherwise wanatuhakikishia kwamba ni wapuuzi na waongo wakubwa !

Wadau,
Hii picha ina utata mkubwa sana na kuna haja ya baadhi ya mambo kuwekwa sawa.

1. Inawezekana kabisa tarehe na muda kwenye settings za hiyo camera haviko sawa.
2. Inawezekana hizo settings ziliwekwa kwa kutumia time zone tofauti na TZ kwahiyo kunaweza kuwa na utofauti kwenye masaa.

Ili kuondoa huo utata moja kwa moja, aliyepiga hizo picha atupigie picha nyingine inaweza kuwa inayoonyesha ukurasa wa mbele wa gazeti lolote la leo. Hiyo ndio itatoa ushahidi wa asilimia 100 kama hiyo picha ya mkutano ni sahihi au ni fake. Hiyo picha isiwe modified kwa njia yoyote na itumwe moja kwa moja baada ya kupiga.
 
MICHUZI BLOG: MAPOKEZI MAKUBWA YA DR SLAA KAHAMA
unaangaika sana kama kuku wa kizungu anakunya kila wakati.
attachment.php


MODS NAOMBA SANA MUANIKE UKWELI HUU,JF INAAMINIKA KUWA NI CHANZO SASAHIHI CHA HABARI,MKUTANO WA DR.SLAA WAJANA PICHA WALIZOWEKA NI UONGO.
ANGALIZO MUHIMU SANA KUHUSU PICHA ZA CHADEMA,

Hawa jamaa wa CHADEMA wameweka picha fake. Just download those pics, save them, and go to PROPERTIES. Utaona kwamba zile picha ni za tarehe 23 Nov mwaka 2011. Inaonekana pia wamejaribu kuedit kwa kutumia PHOTOSHOP ila wameshindwa. Itakuonyesha pale. Bahati nzuri sana kwenye JPG FORMAT ya picha unaweza kuedit vyoooooooote isipokuwa tu tarehe na saa ambapo picha ilipigwa!!
Jamiiforum inawatu wa IT naomba mliangalie hilio,Mkutano wa Slaa haukuwa hivi jana,ni Ulaghai kwa watu

Narudia tena Save Picha hiyo hapo juu kwenye COMPUTER yako then Right Click upate Option ya kuangalia Properties,Nenda kwenye DETAILS Utapata Muda wa PICHA ILIPOCHUKILIWA(TAREHE 23 MWAKA 2011 MWEZI 11) Itakuletea aina ya Camera iliyochukua (NIKON model D7000)
Swala la Muda kuwa ni saa 1:02 am hilo si sababu kwakuwa Mwenye CAMERA yawezekana hakurekebisha muda,lakini Ukweli utabaki pale pale kuwa picha nizauongo,Ikumbukwe kuwa hata ww kwenye simu yako usiposeti Muda na ukaangalia kwenye Misscal au Dial call zako utakuta muda wa uongo.Hivyo swala la Muda ni mwenye CAMERA hakurekebisha


[h=1]MICHUZI BLOG[/h]
Most read Swahili blog on earth
























































[h=2]Thursday, 5 December 2013[/h][h=3]MAPOKEZI MAKUBWA YA DR SLAA KAHAMA[/h]


Katibu mkuu wa Chadema Dr Wilbroad Slaa akiwahutubia wananchi wa Kahama mara baada ya kuwasili mjini hapo kwa ziara yake ya kichama jana

Dr Slaa akisalimiana na wananchi waliofika kumpokea mjini Kahama jana. leo Desemba 5, atakuwa Wilaya ya Kakonko, Jimbo la Buyungu na Desemba 6, atakuwa Jimbo la Muhambwe.














 
maCCM katibu wenu msomali si yupo Mbeya huko?
Mbona hamumfuatilii kama mnavyomfuatilia DR Slaa?
 
attachment.php


MODS NAOMBA SANA MUANIKE UKWELI HUU,JF INAAMINIKA KUWA NI CHANZO SASAHIHI CHA HABARI,MKUTANO WA DR.SLAA WAJANA PICHA WALIZOWEKA NI UONGO.
ANGALIZO MUHIMU SANA KUHUSU PICHA ZA CHADEMA,

Hawa jamaa wa CHADEMA wameweka picha fake. Just download those pics, save them, and go to PROPERTIES. Utaona kwamba zile picha ni za tarehe 23 Nov mwaka 2011. Inaonekana pia wamejaribu kuedit kwa kutumia PHOTOSHOP ila wameshindwa. Itakuonyesha pale. Bahati nzuri sana kwenye JPG FORMAT ya picha unaweza kuedit vyoooooooote isipokuwa tu tarehe na saa ambapo picha ilipigwa!!
Jamiiforum inawatu wa IT naomba mliangalie hilio,Mkutano wa Slaa haukuwa hivi jana,ni Ulaghai kwa watu

Narudia tena Save Picha hiyo hapo juu kwenye COMPUTER yako then Right Click upate Option ya kuangalia Properties,Nenda kwenye DETAILS Utapata Muda wa PICHA ILIPOCHUKILIWA(TAREHE 23 MWAKA 2011 MWEZI 11) Itakuletea aina ya Camera iliyochukua (NIKON model D7000)
Swala la Muda kuwa ni saa 1:02 am hilo si sababu kwakuwa Mwenye CAMERA yawezekana hakurekebisha muda,lakini Ukweli utabaki pale pale kuwa picha nizauongo,Ikumbukwe kuwa hata ww kwenye simu yako usiposeti Muda na ukaangalia kwenye Misscal au Dial call zako utakuta muda wa uongo.Hivyo swala la Muda ni mwenye CAMERA hakurekebisha

Kama inawezekana hakuset muda vip kuhusu tarehe nayo haiwezi kuwa haikusetiwa??
Ukitaka kudanganya pitia sawa sawa mistari ya maneno yako utaumbuka
 
Mkuu wangu hizi propaganda waachie hawa madogo wasiojitambua sio wewe.Inawezekanaje hiyo picha ikapigwa 1.02AM ? Saa saba usiku? Kwa akili ndogo tu unaona huyu dogo anapika majungu ya kitoto.Alafu angalia Program name!
Anajiita mtaalamu wa IT teh teh teh wakati kasoma vile vyuo vya how to switch ON and OFF your Computer mwaka mzima ndio course...
 
Walaaniwe wasaliti wote wa ukombozi wa mtanzania ,
Mola ibariki CDM.
Wabariki viongozi wetu wa CDM.
 
Watanzania tunapenda kushangaa sana,kipindi cha uchaguzi tulishangaa helcopter na sasa tunamshangaa mtu mzima kuvaa nguo za scout
 
[/Hii ndo komesha Kilanga cha Ntuntemeka. Anaesema Cdm ni ya Zzk majibu ndo hayo na kipigo kikali cha chaguzi ndogo.B]

yaani hapo ni kahama mjini??????
mh.. mbona kama anahutubia kitongoji fulani????
tuacheni ushabiki jamani lakini hao watu kama ndio KAHAMA MJINI kuna jambo la kujiuliza.. pigo takatifu liko dhahiri
 
Naona kuna mnazi nyuma ya picha!!!! Hii kitu ya kuchaka chua aise!!!

Nheeeeeeeeee!
Ma-GT wa siku hizi bwana!
Kwa hiyo michikichi haiwi mirefu kama inavyoonekana kwenye picha?
Au unadhani iko Kigoma Peke yake?
Hata kwenye picha kama kungalikuwa na Pan tech la Bakhressa ungalitwambia hapa ni TAZARA bla kujua kwamba yanaenda hadi Rwanda!
Hasidi hakosi sababu!
 
Watanzania tunapenda kushangaa sana,kipindi cha uchaguzi tulishangaa helcopter na sasa tunamshangaa mtu mzima kuvaa nguo za scout

Utasema mengi Mwaka Huu.. Na bado
Mtafuata Nyayo tu,mkijashtuka Watu tuko Magogoni..
CDM imetimia Kila idara,Hata Messi anawekwa Benchi na Barca ikacukua Ndoo...
Nini ZZK!!?
Dr,Ndiye anawanyima Usingizi Magamba,Kilichotokea 2010 kinawatesa sana kwani hamna Jembe litakalo mkabili Dr wa Ukweli ndani ya Magamba!!!
Mtajiju!!!
 
yaani hapo ni kahama mjini??????
mh.. mbona kama anahutubia kitongoji fulani????
tuacheni ushabiki jamani lakini hao watu kama ndio KAHAMA MJINI kuna jambo la kujiuliza.. pigo takatifu liko dhahiri

Pana tofauti gani na Viwanja vya Jangwani (Dar), Furahisha (Mwanza) na Soweto (Arusha)??!
Yaanii mkisikia neno mjini mnadani hakuna miti?!
Hata Igunga kuna mahali panaitwa "Igunga mjini"
 
attachment.php


MODS NAOMBA SANA MUANIKE UKWELI HUU,JF INAAMINIKA KUWA NI CHANZO SASAHIHI CHA HABARI,MKUTANO WA DR.SLAA WAJANA PICHA WALIZOWEKA NI UONGO.
ANGALIZO MUHIMU SANA KUHUSU PICHA ZA CHADEMA,

Hawa jamaa wa CHADEMA wameweka picha fake. Just download those pics, save them, and go to PROPERTIES. Utaona kwamba zile picha ni za tarehe 23 Nov mwaka 2011. Inaonekana pia wamejaribu kuedit kwa kutumia PHOTOSHOP ila wameshindwa. Itakuonyesha pale. Bahati nzuri sana kwenye JPG FORMAT ya picha unaweza kuedit vyoooooooote isipokuwa tu tarehe na saa ambapo picha ilipigwa!!
Jamiiforum inawatu wa IT naomba mliangalie hilio,Mkutano wa Slaa haukuwa hivi jana,ni Ulaghai kwa watu

Narudia tena Save Picha hiyo hapo juu kwenye COMPUTER yako then Right Click upate Option ya kuangalia Properties,Nenda kwenye DETAILS Utapata Muda wa PICHA ILIPOCHUKILIWA(TAREHE 23 MWAKA 2011 MWEZI 11) Itakuletea aina ya Camera iliyochukua (NIKON model D7000)
Swala la Muda kuwa ni saa 1:02 am hilo si sababu kwakuwa Mwenye CAMERA yawezekana hakurekebisha muda,lakini Ukweli utabaki pale pale kuwa picha nizauongo,Ikumbukwe kuwa hata ww kwenye simu yako usiposeti Muda na ukaangalia kwenye Misscal au Dial call zako utakuta muda wa uongo.Hivyo swala la Muda ni mwenye CAMERA hakurekebisha

Kama inawezekana hakuset muda vip kuhusu tarehe nayo haiwezi kuwa haikusetiwa??
Ukitaka kudanganya pitia sawa sawa mistari ya maneno yako utaumbuka
 
Pana tofauti gani na Viwanja vya Jangwani (Dar), Furahisha (Mwanza) na Soweto (Arusha)??!
Yaanii mkisikia neno mjini mnadani hakuna miti?!
Hata Igunga kuna mahali panaitwa "Igunga mjini"
kwa idadi hiyo ya watu najua hata wewe unafahamu kuwa KIDOLE KIMEZAMA KUNAKO...... kazi anayo babu mzinif.....
 
yaani hapo ni kahama mjini??????
mh.. mbona kama anahutubia kitongoji fulani????
tuacheni ushabiki jamani lakini hao watu kama ndio KAHAMA MJINI kuna jambo la kujiuliza.. pigo takatifu liko dhahiri

Utakuwa umelewa gongo tena ile ya msalani
 
kweli kabisa huku ndiko kujenga chama mjadala wazzk hana mpangonao lkn zzk hakusama alama za nyakati?kwa wanao mjua niambieni yeye mtaani kwake ndie aliyemaliza chuo kikuu? ni wangapi kuzaliwa?maana kama ni mziwanda alizoea kukekezwa na kubebwa hwezi kukua
 
pigeni kelele weeeeeee!!!! kura yangu CHADEMA, ni mwenyeji wa MARA, nimekulia MBEYA. Hilo la ubaguzi tutajuana tukichukua nchi....kwa sasa tunashugulika na tatizo moja moja, la kwanza ni kuiondoa CCM, then mengine tutayajua huko mbele.
 
Back
Top Bottom