Mke anadai mimi nimemuibia pesa zake, amani imetoweka

Mke anadai mimi nimemuibia pesa zake, amani imetoweka

Inauma shosti simuombei hata ADUI wangu limkute balaa hili khasa yule unaemtegemea aku bail out ndio anaekushindilia
mie my hubby alinambia wewe hutosheki hiyo pesa ulochukua si pesa ya watoto yakuchezea holiday unamuibia maskini wawatu hutosheki unashida gani nini nisokupa mpaka unaniaibisha namna hii? unaumasikini gani kwenu,nililia mpaka nikamshika miguu mume wangu umenioa hatuna kitu mimi ndio nnae fanya kazi leo hii nimekua mwizi? alinambia za mwizi 40 na leo imetimia hapo ndio mwanzo wa mimi kupata BP,hizi Ndoa we acha tuu mtu akikuona nje umependeza na unacheka anaona unashida gani? unaweza kuka kwenye gorofa uka wish ukae nyumba ya chumba kimoja lakini Happy...


Naomba MUNGU anipe mke mwenye moyo kama wako,Kumbe mama mkwe anajua umemtoa wapi mwanae na mambo unayomfanyia ndio maana anasimama na wewe.ongera sana duuh si mchezo unaweza kutamani ardhi ipasuke
 
MMMM shosti mie nasubiri na naomba mwenyezi mungu awakuze wanangu na anipe umri mrefu lakini nimeshaanza kuwapeleka nje kusoma nimebaki na hawa wadogo nao pia hawatokua namda ntawapeleka baada ntaomba tumalizane tuu
kiroho safi...
Endelea na maombi mwaya...

Everything will be okay na huku ukitafuta kwa bidii hiyo amani na hasa baba watoto.
 
Mie sikusema moja kwa moja sabab sikujui na yeye mke wako ndo anakufahamu Zaidi, alichofanya mke sawa ni utovu wa nidham lakini kwa nilisikiliza upande mmoja tu wako, ili kweka sawa upande wa pili lazima kuwepo akiba ya maneno kama vile, Kama kweli huna katabia chochote cha kumfanya akuhisi hivyo, basi chunguza iko namna, aidha anatafuta sabab tu, aidha kwa kukuchomoa pesa nyengien kijanja au yapo mengi nyuma ya pazia, cha msingi kuwa mpole na kama umeamua kutolipa hiyo pesa, basi simamia ndoa yako irudi kama zamani, mana hata mkiachana doa litabaki pale pale kuwa ulimuibia pesa kama alivyoeneza, pamoja nakuwa amefanya kitu cha ajabu kukuzushia kitu kama hicho cha aibu, mana wanawake wengi tunaamini aibu ya mume ndo aibu ya mke au ya familia sijuia aliwezaje kwenda kuongea huo utumbo nje...pole sana.
Sawa umeeleweka
Sitaki kutumia neno amenizushia na pia nakwepa sana kusema anafanya makusudi au ku stage manage hii issue nzima

Nachoamini kimetokea hadi sasa ni hivi
Huyu aliibiwa au kupoteza hizo pesa town na wajanja kwa maelezo yake mwenyewe anasema amezunguka na hizo pesa kutwa mzima kwenye pochi na kukutana na watu mbali mbali siku hiyo hivyo naamini 100%pesa hizo hakua nazo by the time ana fika home, zilishachukuliwa

Kilichotakiwa sasa ni yy kuniamini mm mumuwe, na lazima niwe muwazi mwanzo aliniamini, na asubuhi hiyo tulijadili na kushauriana ni wapi huenda pesa itakua imepotelea
Shida ni jioni alipokwenda kwa pastor na kurudi na madai ya kuoteshwa na mungu maono ndipo nyumba ikavurugika

Hivyo siamini kwamba ana pretend naamini kaibiwa kweli na ndio maana ameumia sana akifikiria jinsi ya kurudisha mkopo, shida yake hakutaka kushirikiana na mm, in other words alishindwa ku li handle suala hili kama mtu mkomavu kwenye maisha

Tungekaa China tukajalidiana, OK pesa imeibiwa au kupoteza sasa tufanye nn au angeleta ombi kwangu la msaada wa million 6 nyingiine jambo hili lingeisha Muda, lakini kinyume chake amekosea ku deal nalo tangu mwanzo na sasa siwezi kukubali tena chochote akibaki Sawa akiondoka Sawa
 
Pole sana mkuu....
1. Mtazamo wangu ni fanya juu chini uende wewe na mkeo mpaka kwa huyo mchungaji ili maono yake akayashuhudie mbele yako kwamba mwizi ni wewe ili kujiridhisha.
Maana wasiwasi wangu ni kwamba alitumia hisia siyo maono katika kukuona wewe kuwa mwizi. Akikushuhudia kwamba umeiba na wakati hukuiba mkuu, familia yako iepushe mbali sana na mungu wa huyo mchungaji.
2. Ukae ukijua huna mke bali una rafiki tu, mke gani anayeamini mumewe ni mwizi? Otherwise uwe na tabia hiyo ama viashiria hivyo.
 
Inauma shosti simuombei hata ADUI wangu limkute balaa hili khasa yule unaemtegemea aku bail out ndio anaekushindilia
mie my hubby alinambia wewe hutosheki hiyo pesa ulochukua si pesa ya watoto yakuchezea holiday unamuibia maskini wawatu hutosheki unashida gani nini nisokupa mpaka unaniaibisha namna hii? unaumasikini gani kwenu,nililia mpaka nikamshika miguu mume wangu umenioa hatuna kitu mimi ndio nnae fanya kazi leo hii nimekua mwizi? alinambia za mwizi 40 na leo imetimia hapo ndio mwanzo wa mimi kupata BP,hizi Ndoa we acha tuu mtu akikuona nje umependeza na unacheka anaona unashida gani? unaweza kuka kwenye gorofa uka wish ukae nyumba ya chumba kimoja lakini Happy...
mumie huwez amin, wanawake huwa tunavumilia sana, yaani huyu dada alitukaniwa adi ukoo wao wote, mwanaume alidiriki kusema ameoa ukoo wa kimaskin ndo mana wamemtuma aje aibe kwao matajiri. mbona aliambiwa yeye ndo anayeleta umaskin kwenye familia ya mumewe?

baba mzazi wa binti aliwmambia ukirudi huko kwa huyo bwana siwez kukusamehe kwa matusi alonitukana mimi na ukoo wangu. Leo hii wanahaha kuomba msamaha fikiria. sijui atarudishaje yale matusi manake bwana anadai ni hasira. hasira za nini sasa??

ulimbuken unaawasumbua watu sana acha tu wewe
 
Huyo mwanamke hawezi kumsingizia coz kasema alirudi na hiyo pesa usiku na mwanaume alirudi usku amelewa means walikuwa wawili chumbani!..asa we unahisi ni nani kaichukua?...Ni mtazamo wangu lakini mkuu.
Hakuna pahala niliposema karudi napesa in fact kagundua asubuhi kwamba hana pesa, alivyorudi hakuangalia pochi yake hadi asubuhi
Ndio maana asubuhi hakunituhumu mm, tulishauriana kwa pamoja uwezekano wa wapi kapoteza shida ni jioni alipokwenda kwa mchungaji na kuaminishwa kuwa mchungaji kaona maono
Hivyo msingi wa ushahidi wake ni maono ya mchungaji

Kama kweli angekiri aliziona hizo pesa ndani ya pochi aliporudi basi hata mm ningeshtuka sana huenda tuna majini ndani lakini anakiri mwenyewe hakuangalia pochi usiku
Hivyo possibility kaibiwa hajafika home
 
amekwambia hajachukua amlipe vipi sasa

Hawa watu tuliokabidhiwa kuishi nao acha kabisa. Wapo wenye mioyo migum sana hawatishiki. Wapo wenye hila sana na roho mbaya za ajabu haswa anapompata wa pembeni na kunuia kukuondoa au kukudhoofisha.Utakejeliwa kukebehiwa na kutukanwa kireja reja ikitafutwa sababu umpige uishie pabaya au aombe talaka.Sasa kama huyu anaapa hajazichukua hizo hela na siku inayosemekana kuibiwa hizo hela huyu bwana alirudi usiku sana na hata mtaji wa kwanza alitoa yeye lakini sijasikia akihisiwa mfanyakazi hapa kuweza kuzichukua na kukaa kimya.Sasa huyu bwana anawajibika vipi kumlipa hela zote hizo kumfurahisha tu wakati inawezekana kuibiwa hata kwenye daladala zetu na kufika kwake bila hizo hela?Chezea msongamano wa jioni na usharp wa wenye kuzijua kazi zao wewe.
 
Endelea na maombi mwaya...

Everything will be okay na huku ukitafuta kwa bidii hiyo amani na hasa baba watoto.
Wakati anaendelea kuomba na kujiandaa kumuacha kiroho safi kama alivyosema hapo juu na jamaa anaendelea kumega kiroho safi.
 
sikufichi nipo kwa ajili ya watoto na kuchukua haki yao sio kwa mapenzi kwa hali alioniweka simuamini hata kidogo,ilobaki basi tuu na anajua nimebadilika,ule ucheshi wa mwanzo kwake sina tena na i know inamla roho lakini let it be...



Mbona unajitesa dada yangu utakaa vipi na mtu upendo umekata kwanini usimwambie kwamba umepoteza upendo unahitaji kukaaa mbali na yeye..huyo shemeji chenga kwanini alikuacha peke yako kwenye kipindi kigumu kama hicho
 
Sawa umeeleweka
Sitaki kutumia neno amenizushia na pia nakwepa sana kusema anafanya makusudi au ku stage manage hii issue nzima

Nachoamini kimetokea hadi sasa ni hivi
Huyu aliibiwa au kupoteza hizo pesa town na wajanja kwa maelezo yake mwenyewe anasema amezunguka na hizo pesa kutwa mzima kwenye pochi na kukutana na watu mbali mbali siku hiyo hivyo naamini 100%pesa hizo hakua nazo by the time ana fika home, zilishachukuliwa

Kilichotakiwa sasa ni yy kuniamini mm mumuwe, na lazima niwe muwazi mwanzo aliniamini, na asubuhi hiyo tulijadili na kushauriana ni wapi huenda pesa itakua imepotelea
Shida ni jioni alipokwenda kwa pastor na kurudi na madai ya kuoteshwa na mungu maono ndipo nyumba ikavurugika

Hivyo siamini kwamba ana pretend naamini kaibiwa kweli na ndio maana ameumia sana akifikiria jinsi ya kurudisha mkopo, shida yake hakutaka kushirikiana na mm, in other words alishindwa ku li handle suala hili kama mtu mkomavu kwenye maisha

Tungekaa China tukajalidiana, OK pesa imeibiwa au kupoteza sasa tufanye nn au angeleta ombi kwangu la msaada wa million 6 nyingiine jambo hili lingeisha Muda, lakini kinyume chake amekosea ku deal nalo tangu mwanzo na sasa siwezi kukubali tena chochote akibaki Sawa akiondoka Sawa
Shikamoo kidume
 
Ila umesema hutaki vikao vya usuluhishi huenda ufumbuzi ungepatikana huko,je huu usuluhishi wa hapa Jf utaufanyia kazi?
 
Hawa wachungaji uchwara hawa wanaleta shida kwenye familia za watu.Hivi hakuna namna ya kuweza kuwathibiti hawa vibaka wanaojiita wachungaji?.Kuna mmoja huyo hataki kabisa familia moja ya waumini wake wawe na msichana wa kazi ,kila wanayempata anawambia ni mchawi wanafukuza,wakileta mwingine naye mchawi yaani inatia uchungu.

Pole sana Brother,vumilia,jikaze kisabuni,usifanye maamuzi yoyote ukiwa na hasira,epuka kujibizana na mke wako.hayo yote yana mwisho kinchotakiwa ni uvumilivu tu na kumwomba Mungu wa kweli na sio mizimu kama hiyo ya huyo mchungaji
 
Tuma hili tatizo lako kwenda namba 15090 ihakikiwe kama ulichukua au la
 
Back
Top Bottom