Miss JF 2023 FaizaFoxy: Wanaonitongoza waje hapa

Miss JF 2023 FaizaFoxy: Wanaonitongoza waje hapa

Baby una hali love so much could you please give your permission in box
Wale wote wanaojidai kunitongoza majukwaa ambayo hayahusiani na mahusiano, waje hapa kwenye jukwaa mahsusi kwa ajili hiyo.

Wacheni kuharibu nyuzi na mada za watu kwenye majukwaa yasiyohusiana na kutongozana

Hii inawahusu na wale wanaokuja kunikera PM... Karibuni hapa, mshindane kunitongoza.
 
Si ndio maana yake, kama ana miaka 40 ndoani maana yake tunaashum mtoto wake wa kwanza ana miaka 40 au 39, yaani mtu wa huu umri anaweza kuwa mzazi wako si ndio?

Sent using Jamii Forums mobile app
Nshawahi kutana na jamaa ana miaka 38, ana binti wa miaka 21. Nikajua ni mdogo wake, baadae ananitambulisha kuwa huyo ni mwanae wa kumzaa.
 
Inatokea ndio ila sio kwangu ..hata hivyo mbona wamepishana kawaida tu ni jambo la kawaida
Nshawahi kutana na jamaa ana miaka 38, ana binti wa miaka 21. Nikajua ni mdogo wake, baadae ananitambulisha kuwa huyo ni mwanae wa kumzaa.
 
Inatokea ndio ila sio kwangu ..hata hivyo mbona wamepishana kawaida tu ni jambo la kawaida
Lengo lilikuwa ni kuonesha kuwa inawezekana kabisa baadhi ya members humu ndani huyu dada akawa ni bibi yao kwa kigezo cha umri wao na umri wa wazazi wao.
 
Lengo lilikuwa ni kuonesha kuwa inawezekana kabisa baadhi ya members humu ndani huyu dada akawa ni bibi yao kwa kigezo cha umri wao na umri wa wazazi wao.
Member wapo, mimi nilikuwa namzungumzia huyo memba niliyemquote
 
Wat ni waog wameambiw watongoz wanaanz nyenyenyeeee nyng mwagen mixtar apo mm nawaanzixhia "nikienda choon nakuon kweny xink"
 
Back
Top Bottom