Kwa kuandika hayo unaonesha wazi jinsi ulivyojawa na ujinga. Kwa akili yako eti unawakejeli Waislam? Soma hiyooo...Nakupenda sana tafuta weekend moja tukale nyama ya nguruwe maeneo ya Tandika
Ukipata nafasi nipm
Nakupenda sana
Usingefata uzi ukaja kuandika uliyoyaandika.Katika wanawake wote hawa kuna watu wanakutaka wewe? Sikufahamu ila kupitia maandiko yako tu hapa huwa nakuona hufai, nahisi ni mbibi na mtu wa hovyo.
Tena Fai anapenda sana kukosoa wenzake kwa kuandika ndivyo isivyo Kiswahili.. hahaaa, hapa naye kanasa! Lete majibuNaomba nikuulize , kiswahili fasaha ni kusema "wacheni" au "acheni". Ni hilo tu bibi
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi Mwenye hili Jina la GODZILLA si alishafariki Kweli?.Hahahhahaaaa
Nimecheka kijinga sana!
Ndio.Hivi Mwenye hili Jina la GODZILLA si alishafariki Kweli?.
DuuuUtaweza style ya popo kanyea mbingu?