Miss JF 2023 FaizaFoxy: Wanaonitongoza waje hapa

Miss JF 2023 FaizaFoxy: Wanaonitongoza waje hapa

Dah! Bibi nitakua nimechelewa au vipi maana mimi na wewe huwa tunavutana kiaina....japo sijui kama mapenzi yetu yatashinda udini wako, na pia ikitokea nimezaa nawe, mtoto wa kiume asije kujiunga mashababi au wa kike asizuiwe elimu, duh.... ila kwa ulivyo mdini hatuwezi kuendana, wanasema mapenzi huweza vyote lakini wewe ni mfupa uliomshinda fisi.
 
Dah! Bibi nitakua nimechelewa au vipi maana mimi na wewe huwa tunavutana kiaina....japo sijui kama mapenzi yetu yatashinda udini wako, na pia ikitokea nimezaa nawe, mtoto wa kiume asije kujiunga mashababi au wa kike asizuiwe elimu, duh.... ila kwa ulivyo mdini hatuwezi kuendana, wanasema mapenzi huweza vyote lakini wewe ni mfupa uliomshinda fisi.
Ikiwa kwa neno "mdini" unamaanisha Muislam basi elewa kuwa kwa kukujuza kuhusu Uislam nakutakia mema sana. Nakutakia uondokane na kuabudu binaadam mwenzio. Nakutakia mema ya kusoma Qur'an uielewe siyo kusoma kitabu ambacho hata hakijulikani kimetokea wapi.
Mwisho wa uhai usije ukasema sijafikishiwa ujumbe.
 
Ikiwa kwa neno "mdini" unamaanisha Muislam basi elewa kuwa kwa kukujuza kuhusu Uislam nakutakia mema sana. Nakutakia uondokane na kuabudu binaadam mwenzio. Nakutakia mema ya kusoma Qur'an uielewe siyo kusoma kitabu ambacho hata hakijulikani kimetokea wapi.
Mwisho wa uhai usije ukasema sijafikishiwa ujumbe.

Huna jeuri ya kunielekeza maana hata wewe huo uislamu umeukuta, umeletwa na waarabu baada ya kubaka mababu zetu kule pwani na kuwabeba wengine kama watumwa. Kitabu sina haja ya kukisoma maana asilimia kubwa ya wanaokisoma huanza kujilipua mabomu, hamna taifa linaloongozwa kwa misingi ya hicho kitabu na likabaki salama, lazima waanze kuchinjana wenyewe na kulipuana huku wakizuia mabinti wasipate elimu.

Hivyo ukiruhusu nikuoe, hayo ya udini uweke pembeni na watoto tutakaozaa wasijiunge kwenye kundi la mashababi, na mabinti wapate elimu, ndio kanuni/shart zangu hizo, mengine yote nitakuvumilia ikiwemo kuwapa wanaJF elimu yako ile ambayo huwa unawashangaa kama walienda kusomea ujinga shuleni.
 
Huna jeuri ya kunielekeza maana hata wewe huo uislamu umeukuta, umeletwa na waarabu baada ya kubaka mababu zetu kule pwani na kuwabeba wengine kama watumwa. Kitabu sina haja ya kukisoma maana asilimia kubwa ya wanaokisoma huanza kujilipua mabomu, hamna taifa linaloongozwa kwa misingi ya hicho kitabu na likabaki salama, lazima waanze kuchinjana wenyewe na kulipuana huku wakizuia mabinti wasipate elimu.

Hivyo ukiruhusu nikuoe, hayo ya udini uweke pembeni na watoto tutakaozaa wasijiunge kwenye kundi la mashababi, na mabinti wapate elimu, ndio kanuni/shart zangu hizo, mengine yote nitakuvumilia ikiwemo kuwapa wanaJF elimu yako ile ambayo huwa unawashangaa kama walienda kusomea ujinga shuleni.
Uislam kweli nimeukuta, hujakosea.

Unajuwa maana ya neno "Islam"?
 
Ikiwa kwa neno "mdini" unamaanisha Muislam basi elewa kuwa kwa kukujuza kuhusu Uislam nakutakia mema sana. Nakutakia uondokane na kuabudu binaadam mwenzio. Nakutakia mema ya kusoma Qur'an uielewe siyo kusoma kitabu ambacho hata hakijulikani kimetokea wapi.
Mwisho wa uhai usije ukasema sijafikishiwa ujumbe.
Wewe Ni mpumbavu wa mwisho,
 
Hiyo inamaanisha niliyoandika yamekuongia na hauna hoja za kuyajibu.
Tizama unavyo dhihirisha upuzi wako,sijawai kuona mfia dini mweupe kichwani Kama wewe haya Ni matokeo ya kusoma elimu ahera tuuh bila kua na elimu dunia kichwani
 
Tizama unavyo dhihirisha upuzi wako,sijawai kuona mfia dini mweupe kichwani Kama wewe haya Ni matokeo ya kusoma elimu ahera tuuh bila kua na elimu dunia kichwani
Ikiwa kwa maneno "mfia dini" unamaanisha Muislam basi elewa kuwa kwa kukujuza kuhusu Uislam nakutakia mema sana. Nakutakia uondokane na kuabudu binaadam mwenzio. Nakutakia mema ya kusoma Qur'an uielewe siyo kusoma kitabu ambacho hata hakijulikani kimetokea wapi.
Mwisho wa uhai usije ukasema sijafikishiwa ujumbe.
 
Ikiwa kwa maneno "mfia dini" unamaanisha Muislam basi elewa kuwa kwa kukujuza kuhusu Uislam nakutakia mema sana. Nakutakia uondokane na kuabudu binaadam mwenzio. Nakutakia mema ya kusoma Qur'an uielewe siyo kusoma kitabu ambacho hata hakijulikani kimetokea wapi.
Mwisho wa uhai usije ukasema sijafikishiwa ujumbe.
Sina Mana hiyo, shirikisha ubongo kabla ya kuandika
 
Back
Top Bottom