Wale wote wanaojidai kunitongoza majukwaa ambayo hayahusiani na mahusiano, waje hapa kwenye jukwaa mahsusi kwa ajili hiyo.
Wacheni kuharibu nyuzi na mada za watu kwenye majukwaa yasiyohusiana na kutongozana
Hii inawahusu na wale wanaokuja kunikera PM... Karibuni hapa, mshindane kunitongoza.
Mimi nimekuja nipo hapaWale wote wanaojidai kunitongoza majukwaa ambayo hayahusiani na mahusiano, waje hapa kwenye jukwaa mahsusi kwa ajili hiyo.
Wacheni kuharibu nyuzi na mada za watu kwenye majukwaa yasiyohusiana na kutongozana
Hii inawahusu na wale wanaokuja kunikera PM... Karibuni hapa, mshindane kunitongoza.
Unanichanganya sana mpaka nakosea kuandika...= crush
Jifunze Kiingereza vizuri kwanza.
Upo darasa la ngapi?
Wahenga walisema "ukiona nyani mzee, ujue kakwepa mishale mingi". Huyu kakutana na kila aina ya mtongozo. Wengine aliwapiga chini, wengine walimpiga chini na wengine walikula mambo wakatokomea kusikojulikana kwahiyo unayofanya hapa ni kama marudio. Ni sawa na kumshika shika mwanamke wa kikurya aliyekeketwa maana nyegezi hazitapanda.Mimi nimekuja nipo hapa
Hahahhahaaaa= Faiza
Halooooo halooooooo...
ID ipo mbele ya uso wako unaikosea.
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Bibi ShikamoooEndelea kujidanganya tu.
Wale wote wanaojidai kunitongoza majukwaa ambayo hayahusiani na mahusiano, waje hapa kwenye jukwaa mahsusi kwa ajili hiyo.
Wacheni kuharibu nyuzi na mada za watu kwenye majukwaa yasiyohusiana na kutongozana
Hii inawahusu na wale wanaokuja kunikera PM... Karibuni hapa, mshindane kunitongoza.
AstaghafirullahKazi njema sana hiyo.
Naomba ukipata nafasu muulize mama'ko, siku anakuzaa ali "panua panua" au alishindwa kukuzaa "natural" ikabidi wamtie visu vya tumbo?
Ukipata jibu njoo utuhabarishe.
As if ushawahi kuonana na Mungu?Ikiwa kwa maneno "mfia dini" unamaanisha Muislam basi elewa kuwa kwa kukujuza kuhusu Uislam nakutakia mema sana. Nakutakia uondokane na kuabudu binaadam mwenzio. Nakutakia mema ya kusoma Qur'an uielewe siyo kusoma kitabu ambacho hata hakijulikani kimetokea wapi.
Mwisho wa uhai usije ukasema sijafikishiwa ujumbe.
shida iko wapi?Mwanamke unamtaka mwanamke mwenzio!
Nyie ndiyo mnaotuletea vimbunga duniani.
Hiyo harufu ya mfu aliyeoza si mchezo. Kinyaa.