Nimelitafuta sijaona, linalofanana nalo nimeona ni "saruji" na lingine "theluji".Heri ungetumia muda wako kulitafutia maana yake na si kuita ujinga alihari hujui maana yake
Haya turudi kwenye mada naona unaandika ujinga ujinga hapaNimelitafuta sijaona, linalofanana nalo nimeona ni "saruji" na lingine "theluji".
Wewe ilitumiwa muda japo kidogo kuleta futa neno sahihi au ndiyo umetumia ujinga wako tu kuandika neno ambalo halipo?
Na huyo "alihari" ndiyo nani?
Soma post #984 kisha tuendeleeNimelitafuta sijaona, linalofanana nalo nimeona ni "saruji" na lingine "theluji".
Wewe ilitumiwa muda japo kidogo kuleta futa neno sahihi au ndiyo umetumia ujinga wako tu kuandika neno ambalo halipo?
Na huyo "alihari" ndiyo nani?
Ooh na huyo Mungu wako ndiye alikuagiza utongoze nje ya ndoa?
Umeanza soga ili unikwepe siyo? Mi siko ndoani nikikupata wewe naingia rasmi ndoani mi ni mseja tu.Sote tunatakiwa tuwe ndani ya ndoa na si kutongozana bila tija. Au Mungu wako anaruhusu uzinzi na uasherati?
Una uza....?????Sadaka imekushinda utaweza ndoa?
Au umesahau juu hapo uliandika nini kuhusu sadaka?
Sijui nilikua wapi hadi sikuona hii, hongera kidume kwa kujitwalia FFSo FF, You are my woman from now on!
Ngoja tumuone huyo member wa kupokea muamala!
I love you FF
Sijashindwa sadaka kutoa ila napenda nitoe sadaka ikiwa roho yangu imekubali na si kuambiwa ama kushurtishwa, natoa sadaka nikiguswa na jambo hilo. Sitotoa sadaka kukufurahisha wewe ama ili iwe kichocheo cha kukupata wewe la hasha.Sadaka imekushinda utaweza ndoa?
Au umesahau juu hapo uliandika nini kuhusu sadaka?
Zakutosha.Una hela?
Haha haha nimecheka sana huu uzi wako, Ahsante kwa kunifanya nifurahi ubarikiwe bi FaizaKashindwa huyo, tokea January 2019 kaingia mitini. Cheza na sadaka wewe.
Hapo tunarudi nyuma usitake kufufua Makaburi bwana!Mimi nataka wewe mjanja mjanja unifahamishe "seruji" ndiyo nini? Na "Alihari" ndiyo nani?