teledam
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 927
- 1,239
shenzi taipu[emoji23][emoji23]Hujatukanwa unaona ni matusi nikikutukana si utaona nyota nyota.
shenzi taipu[emoji23][emoji23]Hujatukanwa unaona ni matusi nikikutukana si utaona nyota nyota.
Nilikua nakuheshimu sana...Kama mama'ko anayo basi uelewe na mama wa wenzako wana **** kama ya mama'ko. Jifunze kutongoza mama'ko kwanza kisha uingie mitaani, shenzi taipu. Kuchamba hujajua unataka kutongoza.
Aiseehh... anyway!!Heshima yako mimi inanisaidia nini? Usiniheshimu bali jiheshimu.
No... hujanipa darsa lolote!! Nime ignore kwa kusikitika tuDarsa limekuingia na ndilo kusudio.
DuhKama huna hela usinitongoze. Tafadhali.
Unajuwaje kama nao ni mababu?Watu wanajitakia laana za bure mchana kweupe sasa hii tabia ya kutongoza maajuza imeanza lini au ndo kuzidiwa kwa usongo,nyegezi au ugonjwa wa akili?
.
.
Kuweni na huruma na bibi za watu jamani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Weka list ya wanaokutongoza PM hadi kwenye nyuzi za watu washindane.... Ili kila mmoja ajuwe anashindana na nani kwenye kukutongoza...!!!Wale wote wanaojidai kunitongoza majukwaa ambayo hayahusiani na mahusiano, waje hapa kwenye jukwaa mahsusi kwa ajili hiyo.
Wacheni kuharibu nyuzi na mada za watu kwenye majukwaa yasiyohusiana na kutongozana
Hii inawahusu na wale wanaokuja kunikera PM... Karibuni hapa, mshindane kunitongoza.