Miss JF 2023 FaizaFoxy: Wanaonitongoza waje hapa

Miss JF 2023 FaizaFoxy: Wanaonitongoza waje hapa

Mkuu katika siku umeanzisha nyuzi ya kitoto ni leo?

Hii nyuzi imekaa kikahaba sana, hua nimekueka group la wanawake wenye ubongo mkubwa sana humu Jf ...but not anymore

Naanza kuamini wengi wa wasichana jf hawana utofauti na wale wa badoo,sema ndo vile baadhi wanajitahidi sana kujificha hadharani ila ukimuotea angle yake utakuta ni walewale...leo mkuu umeteleza sana,au ulikua unapost ktk ID ya matukio bahati mbaya umepost kwa ID yako ya heshima?

Narudia tena...Huu uzi ni wa kitoto mno...

Sent using Jamii Forums mobile app
Maisha mafupi bwana wee ye nani kila siku awe serious
Kuna mda wa utan,kufurahi na kua serious
 
Mkuu, kwa hiyo na wewe umekaaa ukafikiria ukaona amedhamiria kabisa kuanzisha huu Uzi??

Haikukupitikia kwamba she is joking?? She is a person of her own status, she knows her standing and she would never diverge.

Nina imani kubwa mtu mzima ameamua kuchangamsha genge na vijana.

Humu hatutakiwi kuwa serious kihivyo mzee hususan MMU. We are having fun here bro
[emoji106]yeahh sio kila mda u serious.,,ata yeye ni binadamu
 
Mkuu katika siku umeanzisha nyuzi ya kitoto ni leo?

Hii nyuzi imekaa kikahaba sana, hua nimekueka group la wanawake wenye ubongo mkubwa sana humu Jf ...but not anymore

Naanza kuamini wengi wa wasichana jf hawana utofauti na wale wa badoo,sema ndo vile baadhi wanajitahidi sana kujificha hadharani ila ukimuotea angle yake utakuta ni walewale...leo mkuu umeteleza sana,au ulikua unapost ktk ID ya matukio bahati mbaya umepost kwa ID yako ya heshima?

Narudia tena...Huu uzi ni wa kitoto mno...

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukahaba ni the oldest profession. Hata kwenye biblia upo, itakuwa JF? Fikiri.
 
Back
Top Bottom