Miss JF 2023 FaizaFoxy: Wanaonitongoza waje hapa

Miss JF 2023 FaizaFoxy: Wanaonitongoza waje hapa

Hivi katika kutafuta hii tunu nani aliibuka kidedea?? Nimetafuta post ya ushindi sijaona.
 
Njoo kwangu upoe kama seruji katika mlima Kilimanjaro.
 
Hela kwangu si tatizo ila tatizo ni wewe kukubali
Safi sana.

Kama una hela kama unavyojigamba, acha porojo tuma sadaka namba hii 0654 060 290 kituo cha yatima.

Kisha weka ushahidi hapa tuone kiasi ulicho tima halafu tutakupa maelezo mengine. Mimi nimeshakubali.
 
Safi sana.

Kama una hela kama unavyojigamba, acha porojo tuma sadaka namba hii 0654 060 290 kituo cha yatima.

Kisha weka ushahidi hapa tuone kiasi ulicho tima halafu tutakupa maelezo mengine. Mimi nimeshakubali.
Bila sadaka hujakubali?
 
Hilo neno "seruji" silifahamu labda tamu kwako unaelielewa kwangu naona ni ujinga fulani tu.
Heri ungetumia muda wako kulitafutia maana yake na si kuita ujinga alihari hujui maana yake
 
Back
Top Bottom