Mbassa jr
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 1,234
- 3,238
HahahhahahaYaani jioni yangu imekuwa murua kabisa.
mtoto wa Pwani weye..... hamtongozwi nyie.Wale wote wanaojidai kunitongoza majukwaa ambayo hayahusiani na mahusiano, waje hapa kwenye jukwaa mahsusi kwa ajili hiyo.
Wacheni kuharibu nyuzi na mada za watu kwenye majukwaa yasiyohusiana na kutongozana
Hii inawahusu na wale wanaokuja kunikera PM... Karibuni hapa, mshindane kunitongoza.
Kuna watu wanapandisha nyege kwa avatar tu na id.
Kuna wacheza ngoma siku hizi? Watu tumecheza ngoma za zumari na lelemama itakuwa hizi za kishenzi.mtoto wa Pwani weye..... hamtongozwi nyie.
hapa namtuma mpiga ngoma akulete ghetto. najua naye atakutafuna huko njiani lakini haidhuru najua ghetto kwangu atakufikisha tu!!
HahahahhahahahhahaKuna watu wanapandisha nyege kwa avatar tu na id.
Sasa wanakera hao, wananijazia pm bila mpango.
Mwengine eti mie mbunge ntafanya maisha yako yawe mazuri.
Mwengine mie mfanya biashara naenda china, utapata chochote ukitakacho.
Mwengine yeye eti anaweza kutia goli tisa bila kuchoka.
Yaani wazimu mtupu.
Sasa uwanja huu. Wote wanasepa.
Na nnawaambia mkome kunifata majukwaa mengine na pm mwanamme kweli aje hapa.
FF do you still need more?Kuna watu wanapandisha nyege kwa avatar tu na id.
Sasa wanakera hao, wananijazia pm bila mpango.
Mwengine eti mie mbunge ntafanya maisha yako yawe mazuri.
Mwengine mie mfanya biashara naenda china, utapata chochote ukitakacho.
Mwengine yeye eti anaweza kutia goli tisa bila kuchoka.
Yaani wazimu mtupu.
Sasa uwanja huu. Wote wanasepa.
Na nnawaambia mkome kunifata majukwaa mengine na pm mwanamme kweli aje hapa.
FaizaFoxy ukinikubalia nitakuonyesha jinsi ya kuu trade forex na kupiga pesa kama mimiWale wote wanaojidai kunitongoza majukwaa ambayo hayahusiani na mahusiano, waje hapa kwenye jukwaa mahsusi kwa ajili hiyo.
Wacheni kuharibu nyuzi na mada za watu kwenye majukwaa yasiyohusiana na kutongozana
Hii inawahusu na wale wanaokuja kunikera PM... Karibuni hapa, mshindane kunitongoza.
Sijui my dear
Hujatuma pesa bado. Na hata member hawajatuma namba ili niwape sadaka.FF do you still need more?
Si utangaze mwisho wa mpambano? Tayari.nimeshakupata swthrt😘😘😘😘
Nasubiri tuanze maisha mapya tu ASAP
Sawa dada nakupenda zaidi dadakeBasi kuanzia leo ujue kuwa nakupenda kutoka kwenye uvungu wa moyo wangu. Baada ya shemeji yako ni wewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Pesa is another case!Hujatuma pesa bado.
FaizaFoxy ukinikubalia nitakuonyesha jinsi ya kuu trade forex na kupiga pesa kama mimi
Bibie faiza Mimi nakutaka tukiwa wote watu wa makamo nadhani tutaendana.. Please singatia ombi langu sweetieKuna watu wanapandisha nyege kwa avatar tu na id.
Sasa wanakera hao, wananijazia pm bila mpango.
Mwengine eti mie mbunge ntafanya maisha yako yawe mazuri.
Mwengine mie mfanya biashara naenda china, utapata chochote ukitakacho.
Mwengine yeye eti anaweza kutia goli tisa bila kuchoka.
Yaani wazimu mtupu.
Sasa uwanja huu. Wote wanasepa.
Na nnawaambia mkome kunifata majukwaa mengine na pm mwanamme kweli aje hapa.