FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,506
- 123,777
- Thread starter
- #861
Nani alikudanganganya nnahitaji matumizi kutoka kwako?Pesa ya Kumwaga , sadaka utapata , matumizi , na ya kula matanuzi. Unachotaka kingine nini?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama unaweza anza kutuma sadaka zako "za kumwaga" kwenye namba hii +255 715 080 682
Hicho tu.
