akajasembamba
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 1,015
- 1,498
Matokeo ya uharakati wa wanawake feminism, zinapopitishwa sheria za kupendelea wanawake na kukomoa wanaume wanawake wanajisahau na wao watazeeka watoto wao wa kiume au wa kike wakifariki wao wazee hawatapata kitu jasho lao kwa mtoto linaenda kwa mke na ndugu zake tu.