Midada ya kuvaa nusu uchi kwenye harusi huwa wanatokea wapi?

View attachment 2900704

Jana nilibahatika kuhudhuria harusi ya kijana wa jirani yangu. Ile harusi ilihudhuriwa zaidi na watu wa mtaani maana ndio kampani.

Kitu cha kushangaza ni kukutana na midada yenye maumbo mazuri yakiwa yamejiachia na vimini. Wale madada walikuwa na vibe hatari kila nyimbo wanacheza. Nikajaribu kufuatulia kama ni watu wa pale kitaa ikaonekana sura ngeni. Kila mtu nayemuuliza anasema hawajui kwamba pale mtaani hakuna micharuko wa hivi.

Nikaona niongee na mwana kamati kama wamekodiwa au vipi. Akasema yeye pia hajui.

Nikabaki na maswali, hii midada yenye amsha amsha harusini huwa inatokea wapi?
MashAllah! 🥰
 
View attachment 2900704

Jana nilibahatika kuhudhuria harusi ya kijana wa jirani yangu. Ile harusi ilihudhuriwa zaidi na watu wa mtaani maana ndio kampani.

Kitu cha kushangaza ni kukutana na midada yenye maumbo mazuri yakiwa yamejiachia na vimini. Wale madada walikuwa na vibe hatari kila nyimbo wanacheza. Nikajaribu kufuatulia kama ni watu wa pale kitaa ikaonekana sura ngeni. Kila mtu nayemuuliza anasema hawajui kwamba pale mtaani hakuna micharuko wa hivi.

Nikaona niongee na mwana kamati kama wamekodiwa au vipi. Akasema yeye pia hajui.

Nikabaki na maswali, hii midada yenye amsha amsha harusini huwa inatokea wapi?
Ukiona hivyo ujue huyo bi harusi alikuwa muuzaji hayo mashangingi ni kampani yake walikuwa wanajiuza wote (kumbuka siku hizi wanawake asilimia kubwa wanajiuza japo sio wote wanajiuza bar au kwenye club wapo ambao ni waajiriwa serikalini au kwenye mashirika lakini wanajiuza kwenye mitandao na wana magroup yao kabisa telegram na WhatsApp)
Hivyo hao uliowaona wamekuja kwa mwaliko wa bi harusi mwenyewe na walipewa card za mwaliko au pengine walitoa mchango kabisa
 
View attachment 2900704

Jana nilibahatika kuhudhuria harusi ya kijana wa jirani yangu. Ile harusi ilihudhuriwa zaidi na watu wa mtaani maana ndio kampani.

Kitu cha kushangaza ni kukutana na midada yenye maumbo mazuri yakiwa yamejiachia na vimini. Wale madada walikuwa na vibe hatari kila nyimbo wanacheza. Nikajaribu kufuatulia kama ni watu wa pale kitaa ikaonekana sura ngeni. Kila mtu nayemuuliza anasema hawajui kwamba pale mtaani hakuna micharuko wa hivi.

Nikaona niongee na mwana kamati kama wamekodiwa au vipi. Akasema yeye pia hajui.

Nikabaki na maswali, hii midada yenye amsha amsha harusini huwa inatokea wapi?
Hawa ni Wafanyabiashara wanakuwa kazini hapo.
 
Wapo kazini hapo mwisho wa sherehe anahakikisha kapata bwana akikosa anajiuliza ana kasoro gani anaenda kwa fundi kupunguza sketi iwe fupi zaidi kwaajili ya harusi nyingine
 
Back
Top Bottom