Kindeena
JF-Expert Member
- Sep 27, 2017
- 9,770
- 17,404
Mi AmourSijamind bhana, nimekuzingua tu😂😂. Niite lingine basii zuri zuri
Mi AmourSijamind bhana, nimekuzingua tu😂😂. Niite lingine basii zuri zuri
Hahahahahaha...acha basiMkuu tatizo ukimpeleka kwenye ulingo hakuna maajabu
Yaani napokea oda kama zote😂😂. Oda zikiwa nyingi sana nageuza biashara sasa, nitauza hizo namba.Naona oda zinazidi sasa
Eeeeh namna hiyo, nakuahidi utapata namba soon acha nizifuatilie.Mi Amour
Hahaha sawaaaYaani napokea oda kama zote😂😂. Oda zikiwa nyingi sana nageuza biashara sasa, nitauza hizo namba.
Haa Hapo Sudan, SokotaNi biashara tu kama biashara ya pale tandika...
Wanakodishwa..
Huo utundu huwa wanafanya kwenye muziki tu kama hivyo...Mwenye kijani anaonekana mtundu ktk kukalia ..
Kumbe. Fanya mchakato haraka Mi AmourEeeeh namna hiyo, nakuahidi utapata namba soon acha nizifuatilie.
Utasikie usitoeeee utafikiri dushe lakeHuo utundu huwa wanafanya kwenye muziki tu kama hivyo...
Mong'onyo kama hilo ukilipeleka kitandani linabaki kulia tu irabu za kiswahili, aaaa eeee iiii oooo uuuuuu...
Ukienda kwenye sherehe kula kunywa mengine achana nayoKama ni walewale huwezi kuona shida
😁😁😁😁😁 ila humuHuo utundu huwa wanafanya kwenye muziki tu kama hivyo...
Mong'onyo kama hilo ukilipeleka kitandani linabaki kulia tu irabu za kiswahili, aaaa eeee iiii oooo uuuuuu...
MashAllah! 🥰View attachment 2900704
Jana nilibahatika kuhudhuria harusi ya kijana wa jirani yangu. Ile harusi ilihudhuriwa zaidi na watu wa mtaani maana ndio kampani.
Kitu cha kushangaza ni kukutana na midada yenye maumbo mazuri yakiwa yamejiachia na vimini. Wale madada walikuwa na vibe hatari kila nyimbo wanacheza. Nikajaribu kufuatulia kama ni watu wa pale kitaa ikaonekana sura ngeni. Kila mtu nayemuuliza anasema hawajui kwamba pale mtaani hakuna micharuko wa hivi.
Nikaona niongee na mwana kamati kama wamekodiwa au vipi. Akasema yeye pia hajui.
Nikabaki na maswali, hii midada yenye amsha amsha harusini huwa inatokea wapi?
Ukiona hivyo ujue huyo bi harusi alikuwa muuzaji hayo mashangingi ni kampani yake walikuwa wanajiuza wote (kumbuka siku hizi wanawake asilimia kubwa wanajiuza japo sio wote wanajiuza bar au kwenye club wapo ambao ni waajiriwa serikalini au kwenye mashirika lakini wanajiuza kwenye mitandao na wana magroup yao kabisa telegram na WhatsApp)View attachment 2900704
Jana nilibahatika kuhudhuria harusi ya kijana wa jirani yangu. Ile harusi ilihudhuriwa zaidi na watu wa mtaani maana ndio kampani.
Kitu cha kushangaza ni kukutana na midada yenye maumbo mazuri yakiwa yamejiachia na vimini. Wale madada walikuwa na vibe hatari kila nyimbo wanacheza. Nikajaribu kufuatulia kama ni watu wa pale kitaa ikaonekana sura ngeni. Kila mtu nayemuuliza anasema hawajui kwamba pale mtaani hakuna micharuko wa hivi.
Nikaona niongee na mwana kamati kama wamekodiwa au vipi. Akasema yeye pia hajui.
Nikabaki na maswali, hii midada yenye amsha amsha harusini huwa inatokea wapi?
NdioView attachment 2900805kama hivi 👆?
Hawa ni Wafanyabiashara wanakuwa kazini hapo.View attachment 2900704
Jana nilibahatika kuhudhuria harusi ya kijana wa jirani yangu. Ile harusi ilihudhuriwa zaidi na watu wa mtaani maana ndio kampani.
Kitu cha kushangaza ni kukutana na midada yenye maumbo mazuri yakiwa yamejiachia na vimini. Wale madada walikuwa na vibe hatari kila nyimbo wanacheza. Nikajaribu kufuatulia kama ni watu wa pale kitaa ikaonekana sura ngeni. Kila mtu nayemuuliza anasema hawajui kwamba pale mtaani hakuna micharuko wa hivi.
Nikaona niongee na mwana kamati kama wamekodiwa au vipi. Akasema yeye pia hajui.
Nikabaki na maswali, hii midada yenye amsha amsha harusini huwa inatokea wapi?
Hahahahahaha....Huo utundu huwa wanafanya kwenye muziki tu kama hivyo...
Mong'onyo kama hilo ukilipeleka kitandani linabaki kulia tu irabu za kiswahili, aaaa eeee iiii oooo uuuuuu...
Hahahahahaha...weekend tunapiga soga kdg na kupeana uzoefu😁😁😁😁😁 ila humu