Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 38,195
- 80,239
Mwenye kijani anaonekana mtundu ktk kukalia ..
Mwenye kijani anaonekana mtundu ktk kukalia ..
Basi tuseme robo uchi, kakosea vipimo 😃Aliyevaa nusi uchi yupo wapi mbona sijamuona
Kuna mambo ya kuongelea bwana hao wadada hawajavaa uchiBasi tuseme robo uchi
Mkuu tatizo ukimpeleka kwenye ulingo hakuna maajabuMwenye kijani anaonekana mtundu ktk kukalia ..
Aya poaNdiyo
Wewe bhanaeeKuna mambo ya kuongelea bwana hao wadada hawajavaa uchi
Weee ushaanza kuniita “baby” badala ya “mkuu” halafu nikupe namba kweli?🤣Yes baby
Ukimuona mwenye gauni limepanda juu zaidi ya hapo namimi usinisahau kwa namba mkuu..😋Nikienda kwenye Harusi nikiwaona nitakuchukulia namba boss
Uchi ukwapi wakuu...
Mbona tunabaniana...
Picha sio hoja, hoja ni nusu uchi. Huijui nusu uchi?Hii si hoja ya Post yako, nusu uchi iko wapi hapo?
Kuvaa nusu uchi ni kuvaa nguo ambazo hazifuniki mwili wote au zinaonesha sehemu kubwa ya mwili.Kuna mambo ya kuongelea bwana hao wadada hawajavaa uchi
Samhani mkuu. Unajua Valentine ipo karibu halafu hii picha imeniweka katika hali ya huba.Weee ushaanza kuniita “baby” badala ya “mkuu” halafu nikupe namba kweli?🤣
Sawa sawa mkuu nitakuchukulia nambaUkimuona mwenye gauni limepanda juu zaidi ya hapo namimi usinisahau kwa namba mkuu..😋
Kama ni walewale huwezi kuona shidaKuna mambo ya kuongelea bwana hao wadada hawajavaa uchi
Kuvaa nusu uchi ni kuvaa nguo ambazo hazifuniki mwili wote au zinaonesha sehemu kubwa ya mwili.
Anhaaaa...Tunazungumzia Utupu Wa Kipindi Kile Mwanamke Akivaa Suruali Ilikuwa Gumzo.
Naona oda zinazidi sasaSawa sawa mkuu nitakuchukulia namba
HAYA NDIYO MAMBO TUNAYOHITAJI KWENYE HARUSI MKUU.View attachment 2900704
Jana nilibahatika kuhudhuria harusi ya kijana wa jirani yangu. Ile harusi ilihudhuriwa zaidi na watu wa mtaani maana ndio kampani.
Kitu cha kushangaza ni kukutana na midada yenye maumbo mazuri yakiwa yamejiachia na vimini. Wale madada walikuwa na vibe hatari kila nyimbo wanacheza. Nikajaribu kufuatulia kama ni watu wa pale kitaa ikaonekana sura ngeni. Kila mtu nayemuuliza anasema hawajui kwamba pale mtaani hakuna micharuko wa hivi.
Nikaona niongee na mwana kamati kama wamekodiwa au vipi. Akasema yeye pia hajui.
Nikabaki na maswali, hii midada yenye amsha amsha harusini huwa inatokea wapi?
Sijamind bhana, nimekuzingua tu😂😂. Niite lingine basii zuri zuriSamhani mkuu. Unajua Valentine ipo karibu halafu hii picha imeniweka katika hali ya huba.
Ndiyo maana nikateleza mkuu samahani sana.
Najua hujamaindi lakini