Midada ya kuvaa nusu uchi kwenye harusi huwa wanatokea wapi?


Ni kwa kuwa kachuchumaa, lakini aliposimama sioni kama kuna issue

Screenshot_20240211_145758_Chrome.jpg
 
View attachment 2900704

Jana nilibahatika kuhudhuria harusi ya kijana wa jirani yangu. Ile harusi ilihudhuriwa zaidi na watu wa mtaani maana ndio kampani.

Kitu cha kushangaza ni kukutana na midada yenye maumbo mazuri yakiwa yamejiachia na vimini. Wale madada walikuwa na vibe hatari kila nyimbo wanacheza. Nikajaribu kufuatulia kama ni watu wa pale kitaa ikaonekana sura ngeni. Kila mtu nayemuuliza anasema hawajui kwamba pale mtaani hakuna micharuko wa hivi.

Nikaona niongee na mwana kamati kama wamekodiwa au vipi. Akasema yeye pia hajui.

Nikabaki na maswali, hii midada yenye amsha amsha harusini huwa inatokea wapi?
Huwa wanakuwa kikazi zaidi
 
Hawa mpaka harusi za ukumbini usiku wa manane huwa wapo, uvaaji wao ni hatari wanaweza kubakwa. Taiti na chupi zinaonekana sijui huwa wanamtega nani kama si kuleta vurugu na fujo kwenye harusi ya mwanamke mwenzao aliyeamua kuingia kwenye ndoa.
Watakuwa wanadoea pombe za bure. Harusi zisizo na vileo huwezi kuwaona kabisa. Kukiwa na vileo tu lazima wajazane ukumbini na vinguo vyao vya ajabu.
 
Back
Top Bottom