NetMaster
JF-Expert Member
- Sep 12, 2022
- 1,454
- 4,853
NI MAVAZI AMBAYO MTU HAWEZ KUVAA MBELE YA BABA YAKE MZAZI LAKINI ANAONA NI SAWA MBELE YA BABA MTAKATIFU .!!
Imeshakuwa kama kawaida sikuhizi wakristo kuhamia rasmi mavazi kulingana na tamaduni za wazungu na sio maandiko, mavazi haya yasiyositiri yamechangia kuleta mmonyoko wa maadili kwa kivuli cha fashioni, nashangaa hata kwenye sherehe za harusi za kikristo imekuwa kama fashen mwanamke kuyaacha nusu uchi matiti yake, mgongo kuwa wazi na vazi lake kumbana maksudi kiunoni ili kulitokeza kalio lake na hips zake.
Ukienda makanisani nako imeshakuwa kama mazoea sasa watu kuzugia sketi na magauni ambayo hayafai, unakuta mdada kavaa kisketi hakivuki magoti yani akikaa tu mapaja wayaona, wengine huja na magauni yanayobana kiasi kwamba hips na makalio ni wazi wazi
Mungu amemuumba mwanamke na kuelekezwa ajisitiri kwakuwa mwili wake sio wa kuonekana kwa kila mwanaume bali kwa mwanaume maalumu kwa ajili yake.
Ishu kuu sio kupagawisha wanaume bali ni mwanamke kujiheshimu
wao wenyewe wanajishtukia ndo maana wakienda ukweni wanavaa mavazi yanayowasitiri
Mavazi ya kusitiri hayana Dini, Iwe na ukristo ama Uislamu yamewekewa msisitizo lakini inaonekana wazi kabisa wakristo wanapuuza maandiko kwa kuendelea kuyapa thamani mavazi yasiyositiri.
Mimi binafsi ni mkristo nashukuru navyozaliwa haya mambo ya utandawazi wa mavazi yalikuwa bado hayajaathiri wanawake wa kikristo, tangu nizaliwe sijawai kuona mama Yangu katoka nje kavaa suruali (vazi la mwanaume) inayomchresha mapaja, Makalio na hips .... SIJAWAI !!! Ni jambo la kujivunia kwakweli, Hebu vuta picha Mama yako anatok nje vazi limemchora mpododo, steki, mapaja, hips, n.k.
Shida inakuja siku hizi, Suruali, vimini na magauni marefu anayobana yenye mpasuko yamekuwa kama vazi rasmi,, ni kawaida sana hata mtoto kujua ukubwa wa makalio ya mama yake, hips zake, mapaja, n.k. Hii ni aibu sana.
Biblia ilishakataza kuvaa mavazi ya wanaume hizi suruali, kila mtu kapewa free will a kutaka kufanya atakacho lakini ni muhimu kuangalia impact, Binti kavaa jeans imembana imemchora kilakitu, Haya ni majaribu ya wazi wazi kwa wanaume walioumbwa kuyatamani maungo hayo, Na ndio maana hata mwanaume akigeuka ni vile alivyoumbwa luyatamani mango hayo.
Biblia ilishaweka wazi wanawake waae mavazi yanayositiri lakini kinachoendelea ni kinyume, sketi zinazovaliwa zinaishia magotini kuyafanya mapaja yaonekane mwanamke akikaa. Kuna sketi hizi ndefu kama za harusini lakini zimembana sana mwanamke hazina tena heshima maana zinaachia hips wazi wazi bila kusitiri.
Imeshakuwa kama kawaida sikuhizi wakristo kuhamia rasmi mavazi kulingana na tamaduni za wazungu na sio maandiko, mavazi haya yasiyositiri yamechangia kuleta mmonyoko wa maadili kwa kivuli cha fashioni, nashangaa hata kwenye sherehe za harusi za kikristo imekuwa kama fashen mwanamke kuyaacha nusu uchi matiti yake, mgongo kuwa wazi na vazi lake kumbana maksudi kiunoni ili kulitokeza kalio lake na hips zake.
Ukienda makanisani nako imeshakuwa kama mazoea sasa watu kuzugia sketi na magauni ambayo hayafai, unakuta mdada kavaa kisketi hakivuki magoti yani akikaa tu mapaja wayaona, wengine huja na magauni yanayobana kiasi kwamba hips na makalio ni wazi wazi
Mungu amemuumba mwanamke na kuelekezwa ajisitiri kwakuwa mwili wake sio wa kuonekana kwa kila mwanaume bali kwa mwanaume maalumu kwa ajili yake.
Ishu kuu sio kupagawisha wanaume bali ni mwanamke kujiheshimu
wao wenyewe wanajishtukia ndo maana wakienda ukweni wanavaa mavazi yanayowasitiri
Mavazi ya kusitiri hayana Dini, Iwe na ukristo ama Uislamu yamewekewa msisitizo lakini inaonekana wazi kabisa wakristo wanapuuza maandiko kwa kuendelea kuyapa thamani mavazi yasiyositiri.
Mimi binafsi ni mkristo nashukuru navyozaliwa haya mambo ya utandawazi wa mavazi yalikuwa bado hayajaathiri wanawake wa kikristo, tangu nizaliwe sijawai kuona mama Yangu katoka nje kavaa suruali (vazi la mwanaume) inayomchresha mapaja, Makalio na hips .... SIJAWAI !!! Ni jambo la kujivunia kwakweli, Hebu vuta picha Mama yako anatok nje vazi limemchora mpododo, steki, mapaja, hips, n.k.
Shida inakuja siku hizi, Suruali, vimini na magauni marefu anayobana yenye mpasuko yamekuwa kama vazi rasmi,, ni kawaida sana hata mtoto kujua ukubwa wa makalio ya mama yake, hips zake, mapaja, n.k. Hii ni aibu sana.
Biblia ilishakataza kuvaa mavazi ya wanaume hizi suruali, kila mtu kapewa free will a kutaka kufanya atakacho lakini ni muhimu kuangalia impact, Binti kavaa jeans imembana imemchora kilakitu, Haya ni majaribu ya wazi wazi kwa wanaume walioumbwa kuyatamani maungo hayo, Na ndio maana hata mwanaume akigeuka ni vile alivyoumbwa luyatamani mango hayo.
Biblia ilishaweka wazi wanawake waae mavazi yanayositiri lakini kinachoendelea ni kinyume, sketi zinazovaliwa zinaishia magotini kuyafanya mapaja yaonekane mwanamke akikaa. Kuna sketi hizi ndefu kama za harusini lakini zimembana sana mwanamke hazina tena heshima maana zinaachia hips wazi wazi bila kusitiri.