Michael Amon
JF-Expert Member
- Dec 22, 2008
- 8,775
- 3,610
FirstLady1 Mzee wetu bado kijana kbs basi tu umachachari wake alitupata mapema,Jamani Mtambuzi kumbe bado kijana kabisa
Baba Cantalisia mie nikajua unakimbilia 60 hongera mungu aendelee kukupa maisha mema na marefu
uishi maisha ya kumpendeza milele.
Zawadi yako nimetuma by DHL
FirstLady1 hawa watu wanaoibukia kwenye POST za zamani ndio maana wanaitwa AMSHA POPO............. Sasa mbona hii POST ni mwaka 2001, yaani miaka kumi iliyopita, sasa leo hata Septemba bado tayari mnanichulia na HAPPY BIRTHDAY.............!Jamani Mtambuzi kumbe bado kijana kabisa
Baba Cantalisia mie nikajua unakimbilia 60 hongera mungu aendelee kukupa maisha mema na marefu
uishi maisha ya kumpendeza milele.
Zawadi yako nimetuma by DHL
FirstLady1 hawa watu wanaoibukia kwenye POST za zamani ndio maana wanaitwa AMSHA POPO............. Sasa mbona hii POST ni mwaka 2001, yaani miaka kumi iliyopita, sasa leo hata Septemba bado tayari mnanichulia na HAPPY BIRTHDAY.............!
Mwaka huu ndio nitatimiza 50, msinipunguzie umri mie.......>>LOL
Hongera sana mkuu ( though belatedly).Tarehe kama ya leo, ndio siku ambayo nilizaliwa na kuongeza idadi ya watu hapo Duniani. Si haba, namshukuru muumba kwa kunifikisha hapa nilipo. Pia nawashukuru wazazi wangu, mke wangu mpendwa mama Ngina, na Wanangu Ngina, Ngano na Ngadu, bila kuwasahau wana JF, mahali ambapo pananisaidia kupunguza stress zangu za maisha ..LOL
Tupo pamoja .