Mkuu nakuzidi mwaka mmoja,ebu niambie ulaji wako ukoje,je una kitambi,beer vipi unakunywa sana?nyama choma?mazoezi ya viungo,mastrees yanakusumbua?
Haaah! Mtambuzi na hizo threads zako, nikadhani uko over 40 kumbe mpaka jana hata 40 ulikuwa hujaifikisha.....lol! Heheheheheee! Hongera yako mkuu, hata hivo umesogea!
Happy birthday Dady Mtambuzi!!!!,Mungu akupe umri mrefu na afya njema mpaka uozeshe wajukuu zako!shuhuli wapi na saa ngapi mkuu?Tarehe kama ya leo, ndio siku ambayo nilizaliwa na kuongeza idadi ya watu hapo Duniani. Si haba, namshukuru muumba kwa kunifikisha hapa nilipo. Pia nawashukuru wazazi wangu, mke wangu mpendwa mama Ngina, na Wanangu Ngina, Ngano na Ngadu, bila kuwasahau wana JF, mahali ambapo pananisaidia kupunguza stress zangu za maisha ..LOL
Tupo pamoja .
Haaah! Mtambuzi na hizo threads zako, nikadhani uko over 40 kumbe mpaka jana hata 40 ulikuwa hujaifikisha.....lol! Heheheheheee! Hongera yako mkuu, hata hivo umesogea!
Haya baba!Nitaku-PM
Duh...una bahati sana mkuu. Wengine hili 'dongo' letu kila wakati watu wanakuongezea miaka mitano mbele....unapewa 'shikamoo' mpaka unaona noma!Kazini kwangu leo wamebisha sana kuhusu umri wangu, wanadai muonekano wangu uko tofauti na umri wangu, yaani eti ninaonekana kama ndio niko kwenye early 30s hivi...................... Bosi wangu Mzungu, yeye yuko 30 something lakini anaonekana mkubwa kunizidi.............Unajua hii miili iliyokulia vijijini ugali wa dona na wa muhogo na maziwa kwa wingi vinasaidia sana kuboresha afya...............LOL
Happy birthday! Mungu akupe maisha marefu zaidi... 40yrz sio mchezo, hadi nakuonea wivu jamani...lol..
Hongera sana Mkuu!
Hayo majina ya watoto wako mkuu Ngina, Ngano na Ngadu ni ya kiukweli au ya kutumika hapa jamvini! Maana yamenichekesha, hasa huyo Ngano, nikasema kama ni kweli huyu Mkuu anataka kuharibia wenzake majina. Au na la kwako na la mama Ngina yameanza na Ng....
Msalimie sana Mama Ngina, mpe hongera zake kwa kukuwezesha kufikisha umri huo ukiwa na furaha. Katika msg zako naona kuna furaha na amani katika ndoa ila huyo Ngina inaonekana kakuzidi maujanja. Hata hivyo Mungu atakusaidia. Big Up, Wishing You All the Best
Age is nothing but a number my dear...................... nilianza kujifunza mambo hayo hata kabla sijaoa.....................