Hongera sana mkuu,
Karibu sana kwenye chama chetu cha mababu. Miaka 27 iliyopita ndo nlikuwa na umri kama wako.
Wapi tuje tusheherekee na biya za baridi?
Na kweli, maana nimepitia thread zako, yaani zote zimefanana na NGINA......................LOL
Hongera sana mkuu,
Karibu sana kwenye chama chetu cha mababu. Miaka 27 iliyopita ndo nlikuwa na umri kama wako.
Wapi tuje tusheherekee na biya za baridi?
Tarehe kama ya leo, ndio siku ambayo nilizaliwa na kuongeza idadi ya watu hapo Duniani. Si haba, namshukuru muumba kwa kunifikisha hapa nilipo. Pia nawashukuru wazazi wangu, mke wangu mpendwa mama Ngina, na Wanangu Ngina, Ngano na Ngadu, bila kuwasahau wana JF, mahali ambapo pananisaidia kupunguza stress zangu za maisha ..LOL
Tupo pamoja .
Tarehe kama ya leo, ndio siku ambayo nilizaliwa na kuongeza idadi ya watu hapo Duniani. Si haba, namshukuru muumba kwa kunifikisha hapa nilipo. Pia nawashukuru wazazi wangu, mke wangu mpendwa mama Ngina, na Wanangu Ngina, Ngano na Ngadu, bila kuwasahau wana JF, mahali ambapo pananisaidia kupunguza stress zangu za maisha ..LOL
Tupo pamoja .
Tarehe kama ya leo, ndio siku ambayo nilizaliwa na kuongeza idadi ya watu hapo Duniani. Si haba, namshukuru muumba kwa kunifikisha hapa nilipo. Pia nawashukuru wazazi wangu, mke wangu mpendwa mama Ngina, na Wanangu Ngina, Ngano na Ngadu, bila kuwasahau wana JF, mahali ambapo pananisaidia kupunguza stress zangu za maisha ..LOL
Tupo pamoja .
nasubiri thread yangu uliyoniahidi