MH Polepole atoboa Siri : Mwaka 2015 bila Mstaafu Mkapa kusimama kidete , Wahuni walitaka kumpachika MTU wao kama Rais!

MH Polepole atoboa Siri : Mwaka 2015 bila Mstaafu Mkapa kusimama kidete , Wahuni walitaka kumpachika MTU wao kama Rais!

Carlos The Jackal

JF-Expert Member
Joined
Feb 6, 2017
Posts
28,749
Reaction score
91,814
Watanzania Sasa mnaelewa ni kwanini Vigo vya JPM vilitanguliwa na VIFO vya Mkapa!!.


Rais Nyerere aliwakataa Mzee Kikwete na Lowassa kua Marais wa Nchi akiwaita Wahuni.

Screenshot_20250803_090030~3.jpg
 
Magufuli lilikuwa jina la mfukoni la mwenyekiti wa chama cha mapinduziii.

Mwenyekiti ndie mastermind mkuu
 
Wahuni walijinga mapema kutengeneza njia. Sahivi wanaenjoy life.

Tuliwapigia kelele sana tupeni katiba mpya mkatuona wasaliti. Ooh tunarudisha maendeleo nyuma. Oneni mnaanza kuparuana nyinyi kwa nyinyi.

Tunakoelekea ni pabaya zaidi kama yule mhuni 1 atakuwa bado hai
 
Huyu hajui lolote lilitokea 2015. Kwanini JK na EL mahusiano yao yaliharibika 2015? Sasa anatunga kila uwongo ili kutekeleza azma yake.
Wewe ndiyo hujui! Wahuni wawili baada ya kufanya Uhuni 2005, wakazidiana kete kwenye maslahi - Richmond etc etc. Muhuni mkuu akamzuia mwenzie kuchukua nchi kwa kikaratasi cha mfukoni hata hivyo mtu wake alishindwa. Long story make it short.
 
Haya mambo hayaishii kwa kupata katiba mpya tu.
 
Watanzania Sasa mnaelewa ni kwanini Vigo vya JPM vilitanguliwa na VIFO vya Mkapa!!.


Rais Nyerere aliwakataa Mzee Kikwete na Lowassa kua Marais wa Nchi akiwaita Wahuni.

View attachment 3429243
Slowslow naye kapata washamba wenzie mnaona kama Mkombozi wenu sasa mmemsahau ht Lissu ambaye alipigwa risasi wakati Polepole akishangilia kutembea kwenye vieiti
 
Magufuli lilikuwa jina la mfukoni la mwenyekiti wa chama cha mapinduziii.

Mwenyekiti ndie mastermind mkuu
Ni kweli lilikuwa jina la mfukoni la Mwenyekiti, lakini nachelea kuamini na kukubali kwamba Mwenyekiti alijua hilo jina litaungwa mkono na kufikia lilipofika.

Chaguo la mwenyekiti linafahamika, lilihamia ACT. Chaguo la Mwenyekiti liliamini kuungwa mkono na mwenyekiti tu inatosha, halikupambana kupata uungwaji mkono wa kutosha.

Mwenyekiti aliamini mwendazake ni karata dhaifu maana hakuwa na timu ndani ya chama na hivyo asingefika popote, wafuasi wenye hasira kali wa mzee wa Monduli baada ya kuona katika tano bora Mwenyekiti ana wapendwa wake wanne, wakamshangaza.
 
Back
Top Bottom