Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 98,141
- 143,736
I'd be ashamed if he was my representative.
Huyu si mzima huyu!
Kwa uhakika si mzima
Hahahaaa, anajua sana walioliwa maana anasema Lema kaliwa na huko Lupango ana Bwana. Nashindwa kujua amefahamu vipi kuwa Lema huko alipata bwana na akaliwa.
Pia Vincent Nyerere analiwa. Jamaa anakuwa fundi sana wa kujua mashoga.... Kudadadeki... hahahahaaaa....
Inabidi TUJlLAANI kwa kumshambulia Mzee Malecela maana huyu jamaaa.....
Ila ukiangalia kwa mbali, atakuwa anafanya kazi nzuri sana kwa Chadema maana inabidi kwenda sehemu hii na kuyajibu matusi haya kwa ufupi sana. Kuwaambia Wananchi kuwa Matusi ya Lusinde wakiyachagua, kesho wakilalamika si na wao atawatukana tu?
Hili la kuitwa SIOI ni shoga mbona kaliongelea sana? Kuna ukweli ndani yake? Ukweli unauma nini?
Hivi SIOI ni mmoja ya WANAUME WANNE (Maneno ya Migulu Nchemba) wanaolala Guest House kwenye vitanda viwili na mheshimiwa akiwa safarini? Kudadadeki.
Anadai yeye ni kichaa wa KUZALIWA. Nafikiri pia atakuwa ni SHOGA maana aisifiaye mvua.... Kudadadeki Lusinde, Mgogo akishiba.
Mami Nyani Ngabu, huyu mtani wetu inabidi tumkamate tumpeleke ISELAMAGAZI na tukifika huko "tutange tabu".
Mimi nataka kujua ni watu gani wa CCM waliokuwepo wakati huyu bwana akiongea? Kwa nini hawakumnyanga'nya microphone? Je ina maana walikuwa wanakubalina na kile alichokuwa anakisema? Kwani huyu bwana ameongea kwa takribani dakika kumi na tano.
Sasa mbona unamwita Mh?
Mimi nataka kujua CCM watamchukulia hatua gani za kinidhamu baada ya kutapika hiyo mitusi yake hadharani.
atapewa unaibu waziri.......ila jamaa sijui aliswaki maji ya chooni siku hiyo?Mimi nataka kujua CCM watamchukulia hatua gani za kinidhamu baada ya kutapika hiyo mitusi yake hadharani.
Hakuna matusi hapo kaka, vipi Lema, nae si alisema Siyoi ni shoga aende zake Mombasa, hayo ndiyo majibu sahihi mtu akileta ukauzu nae anakutana na ukauzu.
Sijui ni sera au ni nini. Jionee/sikiliza mwenyewe Mh. Livingstone Lusinde akimwaga Sera za CCM Arumeru - YouTube
I'd be ashamed if he was my representative.