Mh. Livingstone Lusinde akimwaga Sera za CCM Arumeru

Mh. Livingstone Lusinde akimwaga Sera za CCM Arumeru

CDM kwa unafiki hawajambo mbona nyie humu kila siku mnamfananisha Wassira na Sokwe mnashangilia, Lusinde kawapa za uso mnalalamika vumilieni. Mh Lusinde hongera sana kwa maneno yako Mujarabu.

Kumfananisha mtu na sokwe ni jambo baya ambalo linatakiwa kukemewa na watu wote wenye akili timamu, lakini kucondone criminal activity is beyond the pale. Lusinde aliposema wanajua mheshimiwa Lema alichofanywa akiwa jela alikuwa ana-imply nini? For the sake argument, let's assume what he said is true, then what did they do to bring those culprits to justice?
 
Mimi nataka kujua ni watu gani wa CCM waliokuwepo wakati huyu bwana akiongea? Kwa nini hawakumnyanga'nya microphone? Je ina maana walikuwa wanakubalina na kile alichokuwa anakisema? Kwani huyu bwana ameongea kwa takribani dakika kumi na tano.

Rufiji,

..but this has been going on for weeks now.

..hivi ina maana Katibu Mkuu, Wilson Mukama, hana habari?

..kama anazo amechukua hatua gani??

..juzi kulikuwa na kikao cha kamati kuu. je, taarifa au hata minong'ono haikuwafikia wakubwa ktk chama??

NB:

..kilichonisikitisha zaidi ni jinsi alivyowadhalilisha kina mama kwa kuzungumzia masuala ya ujauzito.

..nikiunganisha na wale washabiki wa mpira waliokuwa wakionyesha nguo za ndani ya kina dada nidhani hii ni trend iliyozoeleka kidogo ktk jamii yetu.
 
Hayo matusi kweli jamaa anaakili ndogo sana, jeshi, udaktari, udereva ni taalum, sio uwakilishi wa wananchi; kwa nini analinganisha jeshi na siasa?
 
Kinacho nisikitisha mimi sio huyo Lusinde bali ni Watanzania. Pamoja na matusi hayo yote kuna Watanzania bado wataipatia KURA CCM. I'll be vindicated April First. CCM wanachojali wao ni KUSHINDA uchaguzi FULL STOP. Ndiyo maana kauli mbiu yao ni USHINDI NI LAZIMA.

Kama alikwenda Igunga akamwaga matusi CCM ikashinda, unafikiri ni kitu gani kitawazui CCM kumpeleka Arumeru Mashariki kumwaga MATUSI ili CCM ishinde? si tumeambiwa USHINDI CCM NI LAZIMA.

Kama wana Arumeru wangekuwa wana chukia MATUSI wakainyima CCM kura, believe me Lusinde ndiyo ungekuwa mwisho wake, asingeliitwa tena kwenye by election nyingine.

Lakini kama MATUSI hayo ya Lusinde yataendelea kuwapatia USHINDI CCM, Lusinde ataonekana HERO mbele ya wana CCM na ataendelea kutumiwa kumwaga MATUSI kila uchaguzi utakapoitishwa.

In a NUT SHELL ni Kwamba kama sisi watanzania tutakataa matusi ya Lusinde na kuinyima kura CCM, Lusinde KWISHNEY. Lakini kama tutaendelea kupigia kura MATUSI na kuipa CCM USHINDI Lusindea ataendelea KUTUKANA.

Tatizo ni sisi wATANZANIA Jamani sio LUSINDE!
 
Pole sana Wagogo wa Mtera, yaani nadhani watakuwa wanajuta kuchagua mtu huyu maana Lusinde ni zaidi ya mwendawazimu.

kwa nini unadhani wanajuta???????
mbona hapo Lusinde anashangiliwa kwa kwenda mbele jamani?
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Polisi walikuwepo???? Polisi jamani hata kuonesha kuwa ninyi ni waadirifu hamuwezi kumuacha kichaa wa kuzaliwa anaongea matusi hadharani? kamanda wa polisi uko wapi? likizo??
 
Mimi nataka kujua ni watu gani wa CCM waliokuwepo wakati huyu bwana akiongea? Kwa nini hawakumnyanga'nya microphone? Je ina maana walikuwa wanakubalina na kile alichokuwa anakisema? Kwani huyu bwana ameongea kwa takribani dakika kumi na tano.

Does it real matter? Waliokuwa wanamsikiliza si wangeweza kumnyang'anya? Walikuwa wanapenda wanachosikia, otherwise wala wasingeendelea kuwepo pale.
 
Kumfananisha mtu na sokwe ni jambo baya ambalo linatakiwa kukemewa na watu wote wenye akili timamu, lakini kucondone criminal activity is beyond the pale. Lusinde aliposema wanajua mheshimiwa Lema alichofanywa akiwa jela alikuwa ana-imply nini? For the sake argument, let's assume what he said is true, then what did they do to bring those culprits to justice?

Je na kumuita Siyoi, shoga wakati huna ushahidi ni jambo jema?
 

Regardless of their incompetence and ineptitude, this guy's behavior is way over the line. Like I said, what he did is unprecedented. I have never seen it ever since I can remember. Have you?
 
  • Thanks
Reactions: bht
anza wewe mm namaliza,, huo msemo unamaana gani? Cdm mmeyataka wenyewe matusi sasa mnalilia nn?

Kwa hiyo Mkuu ww una-condone hayo matuci yaliotumika hapo..? Watoto walio hapo kwenye kampeni wanajifunza nini kwa viongozi..? Ulimcikia kiongozi gani wa CDM alietamka matuci kama haya..? Sasa huyu ana tofauti gani na mpiga debe pale kinondoni au tandika kwenye stand ya daladala..? Mtu yeyote mwenye akili timamu hawezi kusema aliosema lusinde.. Na mtu yeyote mwenye akili timamu hawezi ku-support upuuzi huo wa Lusinde..
 
Hivi kuna kiongozi yoyote wa CCM kitaifa ambaye ame-repudiate hayo matusi ya Lusinde?


heheheee kwani hiyo Ngabu ndo imewahi kutokea? usitegemee maana sio rahisi kihivyo aisee
 
Does it real matter? Waliokuwa wanamsikiliza si wangeweza kumnyang'anya? Walikuwa wanapenda wanachosikia, otherwise wala wasingeendelea kuwepo pale.

exactly...instead the crowd was cheering him up!!
 
Wengi wa Wana Arumeru Mashariki tena wakiwa wamama wamekasirishwa sana na maneno machafu ya Mbumge Lusinde na kwaghadhabu inaonekana wamezidi kukichukia chama.Lusinde huku akipongezwa na vijana wahuni alionekana kuzungumza kama chali wa Mererani, huku wengi wakikejeli hii ndio CCM ya kisasa bana.

Wengi wakiwa ni watoto wadogo washule walionekana wakisema Lema amepataje MUME?Kauli ambazo pia zinaendelea kuwafedhehesha watoto na vijana.Kwa taarifa kuna waliokasirishwa kiasi kwamba walijiona kuwa matahira huku wengine wakiondoka eneo la mkutano,na kuna baadhi walitaka kuvamia jukwaa ila subira ziliwatawala.

Kama kweli CCM inauongozi lazima ikeme ujinga huu wa LUSINDE,Hafai na hana hata sifa za kuwa Mbunge.Tuwape salamu za pole kwa wote waliomchagua.

Hili halikubaliki ktka siasa za matusi bila hata kujali matumizi ya lugha za mficho

Shame up on you
Ni matusi kuichagua CCM kwa mtindo huu
 
Pole sana Wagogo wa Mtera, yaani nadhani watakuwa wanajuta kuchagua mtu huyu maana Lusinde ni zaidi ya mwendawazimu.
 
Regardless of their incompetence and ineptitude, this guy's behavior is way over the line. Like I said, what he did is unprecedented. I have never seen it ever since I can remember. Have you?

Mkuu this is not unprecedented. Tembelea kwenye mikutano ya kampeni usikie mengi. Hii haijaanza leo na sidhani kama itakuwa mara ya mwisho. Unajua kisa hasa cha Mramba kukosa Ubunge? Wengi wanadhania eti ni kwa sababu ya tuhuma za ufisadi zinazomwandama. Leo tena wanawake wametukanwa na wanashangalia.
 
Does it real matter? Waliokuwa wanamsikiliza si wangeweza kumnyang'anya? Walikuwa wanapenda wanachosikia, otherwise wala wasingeendelea kuwepo pale.

Hao waliokuwa wanamsikiliza most likely they don't know any better so I'd give them a pass. The real question becomes 'now what'? What is CCM going to do about it?
 
Suala sio kama anayeongea ni mzima bali kama wanaomsikiliza na kushangilia wanayoyasikia ni wazima. Wala simlaumu. Ndio siasa ambazo wabongo wanapenda. Kupashana.

Inategemea waliokuwa wanamsikiliza na kumshangilia ni watu wa namna gani. Unaweza kuwa nusu ya hao ni vibaka. unategemea nini. Ndio mipasho tena.
 
Tis a shame for Mh Lusinde n his pRty. Wat is he teachin our children? Am dissapoited hata km Hunan chama hata hamu ya hiki haipo. He was supposed 2 convics plp 2 vote 4 CCM not insults. Shame on u lusinde.
 
Hao waliokuwa wanamsikiliza most likely they don't know any better so I'd give them a pass. The real question becomes 'now what'? What is CCM going to do about it?

Sidhani suala ni kama CCM watafanya nini. Suala hapa ni Watanzania watafanya nini?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom