Lusinde na wana ccm wote wanapaswa kutuomba radhi watanzania kwani hawajawatukana watu wa arumeru bali watanzania na wasisahau kuwa sisi ndio tuliowapa dhamana ya kluongoza nchi wale kodi zetu watumie rasilimali za watanzania kisha watutukane huu ni ulimbukeni wa hali ya juu