Mh. Livingstone Lusinde akimwaga Sera za CCM Arumeru

Mh. Livingstone Lusinde akimwaga Sera za CCM Arumeru

Mkuu tembelea kwenye mikutano ya kampeni usikie mengi. Hii haijaanza leo na sidhani kama itakuwa mara ya mwisho. Unajua kisa hasa cha Mramba kukosa Ubunge? Wengi wanadhania eti ni kwa sababu ya tuhuma za ufisadi zinazomwandama. Leo tena wanawake wametukanwa na wanashangalia.

Nimeshaenda sana kwenye mikutano ya kampeni. Lakini hii ni tofauti. The language he used was unbecoming of an MP. He crossed the line, period, end of story.
 
  • Thanks
Reactions: bht
Lusinde anavuta bangi nadhani amemuiga Tyson waziri wa maridhiano
 
Sidhani suala ni kama CCM watafanya nini. Suala hapa ni Watanzania watafanya nini?

Kwa nini CCM wasimchukulie hatua za kinidhamu ikiwamo kumfukuza uanachama? Kwani hawana kamati ya nidhamu? Hawana sera ya nidhamu na miiko?

I expect them to take some disciplinary action.
 
Lala Salama! lusinde akimwaga sera.




Hapo mbele kuna watoto wengi wanacikiliza Lusinde akimwaga matuci.. Anawafundisha nini hawa watoto..? Kwamba siasa ni matuci..? Kwamba kutukana kwenye siasa ni ruksa..? Imagine picha wanayotengeneza watoto vichwani mwao..? Ni kweli CCM mmeoza kiaci hiki..? Kwa standard zote this's too low.. The lowest point..
 
Pelekeni CD kwa mwenyekiti wake wa chama Taifa na mkoa waone walicho mtuma kwa wananchi kunadi matusi badala ya sera
 
Nilidhan kuwa na kipara ni busara,kumbe ni ujinga,tena uliokithili kama lusinde
 
Inategemea waliokuwa wanamsikiliza na kumshangilia ni watu wa namna gani. Unaweza kuwa nusu ya hao ni vibaka. unategemea nini. Ndio mipasho tena.

Hata kama walikuwa ni vibaka bado ni Watanzania. Vibaka wana mama pia. Sidhani kama kuna kibaka ambaye angependa kusikia mama yake akidharahauliwa hadharani kiasi kile.

Nadhani tusijaribu kusema kuwa sisi Watanzania hatuwajibiki kwa yaliyosemwa kwenye hiyo video. Tunawajibika 100%. We don't hold our leaders accountable to what they do and say. Matokeo yake ndio hayo. Watafanya na kusema watakavyo kwa sababu wanajua wazi kuwa, wananchi hawatafanya chochote.
 
Hata kama walikuwa ni vibaka bado ni Watanzania. Vibaka wana mama pia. Sidhani kama kuna kibaka ambaye angependa kusikia mama yake akidharahauliwa hadharani kiasi kile.

Nadhani tusijaribu kusema kuwa sisi Watanzania hatuwajibiki kwa yaliyosemwa kwenye hiyo video. Tunawajibika 100%. We don't hold our leaders accountable to what they do and say. Matokeo yake ndio hayo. Watafanya na kusema watakavyo kwa sababu wanajua wazi kuwa, wananchi hawatafanya chochote.

Sasa Mtanzania aliyeko Tukuyu unamtaka afanye nini?
 
Kwa kweli nimesikitika sana, nimejaribu kuwasikilizisha baadhi ya watu ule ujinga kwanza hakakuamini walifikiri eti kama usanii fulani.

Lusinde hafai kuwa hata mpigadebe labda kuli.
 
CCM ilishakufa siku nying sana, kinachowasaidia kuonekana ni nguvu ya pesa na dola waliyonayo.

but their days are numbered and every one declare to the shameful collapse; let us wait and see.
 
Wenzetu wanasheria mtujuze, hivi haiwezekani kwa Dr. Slaa kumchukulia hatua za kisheria huyu bwana? matusi aliyotoa yanavuka mipaka ya hoja za kisiasa. Yaani utafikiri CCM wamekodi toto la mitaani kwenda kuwapigia debe.
 
Huyu amesha ikosesha CCM ushindi wa kishindo
 
Kwa nini CCM wasimchukulie hatua za kinidhamu ikiwamo kumfukuza uanachama? Kwani hawana kamati ya nidhamu? Hawana sera ya nidhamu na miiko?

I expect them to take some disciplinary action.

Well, keep expecting Sir.
 
Jamani wadau nina wasi wasi juu ya huyu mh.mbunge Livingstone Lusinde..,inawezekana ni kichaa(chizi)..,ukizingatia hata mwenyewe ashawahi kutoa kauli bungeni wahemishiwa wabunge wapimwe akili..na Mh Jenista Mhagama kucheka na baadhi ya wabunge! Mh.Lusinde alikuwa ana maana yake kwamba wabunge wapimwe akili akiwemo yeye maanak mimi nina wasi wasi amelaaniwa na wazee wa kigogo hasa Mzee Samwel MALECELA...WILLIAM MALECELA plz kakomboe jimbo toka kwa kichaa Livingstone Lusinde asije akavua siku nguo bungeni..
 
Huyu amesha ikosesha CCM ushindi wa kishindo


Hata asingetukana,labda wasibebe zile box ya kura maana hakuna mtu wa kuwapa kura mafisadi kama hawa na wakazidi kujichafua zaidi kwa raia wakionyesha dhairi hawana hekima mbele ya Wanainchi!

sisiem itabaki jina tu!
 
Naona Lusinde atajaza jukwaa la chaguzi ndogo maana inaonekana watu wengi hawakujua kinachoondelea Arumeru na matusi ya CCM.
 
Sitegemei iwe iwavyo CDM, LEMA, MBOWE Na SLAA binafsi wanapaswa kumwacha Lusinde atambe. Ushahidi wa matamshi yake watosha na mashtaka ni muhimu. Katamka wazi kuwa Lema aliolewa na bwana wake amjua. Katamka wazi Slaa kama padri aliwatia mimba wanakwaya. Katamka wazi kuwa Nyerere kaliwa ila tu wao hawasemi. Ni matusi machafu kuliko na japo yaonyesha kutapatapa kwa CCM hii ni zaidi. CDM msituangushe huyu akomeshwe.
 
Jamani wadau nina wasi wasi juu ya huyu mh.mbunge Livingstone Lusinde..,inawezekana ni kichaa(chizi)..,ukizingatia hata mwenyewe ashawahi kutoa kauli bungeni wahemishiwa wabunge wapimwe akili..na Mh Jenista Mhagama kucheka na baadhi ya wabunge! Mh.Lusinde alikuwa ana maana yake kwamba wabunge wapimwe akili akiwemo yeye maanak mimi nina wasi wasi amelaaniwa na wazee wa kigogo hasa Mzee Samwel MALECELA...WILLIAM MALECELA plz kakomboe jimbo toka kwa kichaa Livingstone Lusinde asije akavua siku nguo bungeni..

Yeye mwenyewe ameshasema kuwa ana kichaa cha kuzaliwa nacho, wengine wana kichaa cha kurogwa...!! Huitaji kupoteza resources zako kwa ajili ya kwenda kumpima akili.
 
Hata asingetukana,labda wasibebe zile box ya kura maana hakuna mtu wa kuwapa kura mafisadi kama hawa na wakazidi kujichafua zaidi kwa raia wakionyesha dhairi hawana hekima mbele ya Wanainchi!

sisiem itabaki jina tu!

Watu wa Arusha matusi si jadi yao, Hapo amekula chaka. Hao ni wacha Mungu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom