Mwita Maranya
JF-Expert Member
- Jul 1, 2008
- 10,565
- 7,993
Sasa naamini kwamba lusinde anahitaji msaada wa haraka sana, si mzima huyu mtu.
Jamani huyu ni mbunge kweli au wamekosea?. Tunaweza kuwa na watu wa hali ya namna hii anaitwa Mheshimiwa?. Then the word Mheshimiwa has lost its meaning. Ningekuwa CCM leo ningechana card yao.
Namhurumia sana mke wake. Mme wa namna hii hata kuongozana nae shida, maneno ya hovyo hastahili heshima toka kwa mtu yeyote.
Mami Nyani Ngabu, huyu mtani wetu inabidi tumkamate tumpeleke ISELAMAGAZI na tukifika huko "tutange tabu".
Siasa za CCM ndo zinaishia kwenye mnatusi kama haya! no more!
Updates: Video Hii Hapa:
<span style="color:#ff0000;"><strong>
mkuu nasisi tutukane!??Ila wanachadema tusinyamazie haya matusi anayomwagiwa Dk. wetu, rais wetu mpendwa Slaa!
we should react immediately!
Sijaona kigeni katika hiyo clip!
This is beyond the pale! CCM should kick him out. He is a disgrace.
sidhani Ngabu, who will dare to?
Sasa mbona unamwita Mh?