Mh. Livingstone Lusinde akimwaga Sera za CCM Arumeru

Mh. Livingstone Lusinde akimwaga Sera za CCM Arumeru

Hahahaaa, anajua sana walioliwa maana anasema Lema kaliwa na huko Lupango ana Bwana. Nashindwa kujua amefahamu vipi kuwa Lema huko alipata bwana na akaliwa.

Pia Vincent Nyerere analiwa. Jamaa anakuwa fundi sana wa kujua mashoga.... Kudadadeki... hahahahaaaa....

Inabidi TUJlLAANI kwa kumshambulia Mzee Malecela maana huyu jamaaa.....

Ila ukiangalia kwa mbali, atakuwa anafanya kazi nzuri sana kwa Chadema maana inabidi kwenda sehemu hii na kuyajibu matusi haya kwa ufupi sana. Kuwaambia Wananchi kuwa Matusi ya Lusinde wakiyachagua, kesho wakilalamika si na wao atawatukana tu?

Hili la kuitwa SIOI ni shoga mbona kaliongelea sana? Kuna ukweli ndani yake? Ukweli unauma nini?

Hivi SIOI ni mmoja ya WANAUME WANNE (Maneno ya Migulu Nchemba) wanaolala Guest House kwenye vitanda viwili na mheshimiwa akiwa safarini? Kudadadeki.

Anadai yeye ni kichaa wa KUZALIWA. Nafikiri pia atakuwa ni SHOGA maana aisifiaye mvua.... Kudadadeki Lusinde, Mgogo akishiba.

Mami Nyani Ngabu, huyu mtani wetu inabidi tumkamate tumpeleke ISELAMAGAZI na tukifika huko "tutange tabu".
 
Nimeshindwa kuelewa huyu jamaa kama ana akili kweli, kweli huyu ni mwakilishi wa watu???? NITASHANGAA SANA KAMA CDM HAWATAWACHUKULIA HATUA.
 
..Mwigulu Nchemba pamoja na viongozi wenzake walikuwepo hapo lakini hawakuchukua uamuzi wa kumshusha Lusinde toka jukwaani.

..cha kusikitisha zaidi ni hao wananchi waliokuwa wakimshangalia na kumu-encourage aendelee kumwaga matusi.


..mwisho, hivi Polisi hawana jukumu la kuwashughulikia wachafuzi wa hali ya hewa kama Lusinde??
 
  • Thanks
Reactions: EMT
KAMA CDM wasipochukua hatua mimi binafsi nitachukua hatua za kisheria, haiwezekani tuwe na wajinga kama hawa, hata kama wao wamewatukana (which is not true) huwezi na wewe kusimama na kutukana....haya abarikiwe
 
anza wewe mm namaliza,, huo msemo unamaana gani? Cdm mmeyataka wenyewe matusi sasa mnalilia nn?
 
Jamani siamini nachosikia... huyu nae ni muheshimiwa? i mean nae analipwa kutokana na kodi zetu? seriously jamani mtu kama huyu nae ni mtunga sheria? disgusting!

Wana mtera walikosa kabisa mtu wa kuwawakilisha?
 
natamani sna kuwaona watu wa mtera walimpigia kura wanafananaje,kama kati yao walimuona huyo ndio anafaa basi waliompa kura wanatakiwa kuwa mirembe.

Inatia hamu kuwaona ili tuweze kujudge.
 
kwenye hiyo clip kuna mahali anasema yeye ni kichaa wa kuzaliwa na sio wa kulogewa! kweli tuna watunga sheria nchi hii... mungu tusaidie!
 
Na ndo mwakilishi wa watu huyo!
Mtera nilidhani kwa kula samaki labda upstairs mtakuwa mumetuletea mtu wa maana kumbe galasa
 
Atokuwa amemtoroka dactari wake pale Mirembe.
Eti Jk anathubutu kutamka urais sasa ni kwa vijana. Vijana wenyewe ni kina Lusinde? Mungu epushia mbali huu wehu.
.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom