Mzizi wa Mbuyu
JF-Expert Member
- May 15, 2009
- 7,472
- 7,275
Eti Dr. Slaa mshamba kwa sababu anavaa kombati kubwa halafu akitembea anatembea kaa kajinyea!! Wow....just wow!!
Hivi huyu Lusinde Mzima kweli?
Akapimwe akili!
Eti Dr. Slaa mshamba kwa sababu anavaa kombati kubwa halafu akitembea anatembea kaa kajinyea!! Wow....just wow!!
natamani sna kuwaona watu wa mtera walimpigia kura wanafananaje,kama kati yao walimuona huyo ndio anafaa basi waliompa kura wanatakiwa kuwa mirembe.
natamani sna kuwaona watu wa mtera walimpigia kura wanafananaje,kama kati yao walimuona huyo ndio anafaa basi waliompa kura wanatakiwa kuwa mirembe.