Ndebile
JF-Expert Member
- Sep 14, 2011
- 7,237
- 9,871
Serikali Lazima itishe isichezewechezewe; Naafiki maneno yako, hapa chini naweka nukuu kutoka kwenye Biblia
kitabu cha1 cha Wafalme sura ya 2;
the days of David drew nigh that he should die; and he charged Solomon his son, saying,
... I go the way of all the earth: be thou strong therefore, and shew thyself a man;
Wito kwa JK, ni wakati wa kutenda sasa, usitake kuwapendeza madaktari kwa kuwa wanaua watu na
kuuonesha uma kuwa wewe ni dhaifu, fuata maneno ya Mfalme Daudi aliyomwambia Mfalme Suleiman
wakati alipomtawaza... "be thou strong therefore, and shew thyself a man;"
Sheria zipo wazi wataalamu wetu wamevunja sheria, umewabembeleza vya kutosha, chukua hatua...muda wa kutafakari umepita.
Najua maneno haya yatawaudhi sana mashabiki wa mgomo lakini hata kama Dr. Slaa akiwa rais hawezi vumilia hali hii
Ameeeen! Biblia bila Quinine malaria itakuua mkuu.