mshana org
JF-Expert Member
- Jan 28, 2012
- 2,091
- 619
Kusua sua kwa serikali yenu tukufu ndo kumesababisha yote haya
Wewe unasema ilinyoosha mkono upi?wakati katibumkuu na naibu wake walifukuzwa na pm pinda.lakin cha kushangaza bado wako officen na katika makukubaliano yao kwanza ilikua kuwatimua hawa watu 4 kwanza kabla ya mambo mengine.na pinda aliwatimua hawa pia akadai waziri na naibu wake wako nje ya uwezo wake mwenye jukumu la kuwafukuza ni baba mwanaasha ambaye alikua nje yanch aliporud nchn alitakiwa kuwatimua lakn hajafanya chochote.huon madactar hawa wanasanifiwa na serikali?