Huu mgomo ni batili kisheria. Serikali ina haki ya kuwashtaki au iwafukuze kazi wale watakaoendelea kukaidi rai ya kuwataka warudi kazini.
For Dr's info: ma-dr wa kutosha kutoa huduma za dharura wako stand-by toka nchi rafiki. Liwalo na liwe, watakuja kuokoa roho mnazotaka zipotee. In the meantime serikali inajipanga kushughulikia kiburi chenu na kuwarudisha kwenye saizi yenu halisi.
Kipindi hiki lazima jambo litafanyika, hata kama ni kwa gharama. Lazima kukomesha hii jeuri ya madaktari kuvunja katiba na kutaka kuingilia madaraka ya Rais ya kuteua wasaidizi wake.
Bila kujali maslahi ya upande wowote katika mgogoro huu, naomba mtu anaeunga mkono mgomo huu anijibu swali hili;- wagonjwa, ambao ni haki yao kupata matibabu, na ambao pia sio chanzo cha mgogoro, wana maslahi gani katika mambo yanayoendelea sasa hivi? Istoshe, katika kugoma kwao, ni makosa kusema madaktari wanawakomoa wagonjwa?
Mbona hivyo vyote vilishabinafsishwa na serikali imejitoa kuvisimamia 100%. Sasa wanajitahidi na kubinafsisha huduma ya Afya maana wao tayari wanapata huduma India.TANESCO nao wakituhujumu kwenye umme eti tu kudai haki zao...giza nene
TRA wagome kukusanya kodi eti wanadai haki zao.
TBS wagome kuthibitisha ubora wa vyakula eti wanadai haki zao.
Huu mgomo ni batili kisheria. Serikali ina haki ya kuwashtaki au iwafukuze kazi wale watakaoendelea kukaidi rai ya kuwataka warudi kazini.
For Dr's info: ma-dr wa kutosha kutoa huduma za dharura wako stand-by toka nchi rafiki. Liwalo na liwe, watakuja kuokoa roho mnazotaka zipotee. In the meantime serikali inajipanga kushughulikia kiburi chenu na kuwarudisha kwenye saizi yenu halisi.
Kipindi hiki lazima jambo litafanyika, hata kama ni kwa gharama. Lazima kukomesha hii jeuri ya madaktari kuvunja katiba na kutaka kuingilia madaraka ya Rais ya kuteua wasaidizi wake.
Kumbd keki tamu!nipo pamoja na madaktari 100%. Kwanini keki ya taifa letu wanufaike watu wachache?
Tuwekee chanzo chako makini basi...afu we kipepeo mbona unaruka ruka sana?..
Huu mgomo ni batili kisheria. Serikali ina haki ya kuwashtaki au iwafukuze kazi wale watakaoendelea kukaidi rai ya kuwataka warudi kazini.
For Dr's info: ma-dr wa kutosha kutoa huduma za dharura wako stand-by toka nchi rafiki. Liwalo na liwe, watakuja kuokoa roho mnazotaka zipotee. In the meantime serikali inajipanga kushughulikia kiburi chenu na kuwarudisha kwenye saizi yenu halisi.
Kipindi hiki lazima jambo litafanyika, hata kama ni kwa gharama. Lazima kukomesha hii jeuri ya madaktari kuvunja katiba na kutaka kuingilia madaraka ya Rais ya kuteua wasaidizi wake.
hivi wewe una akili timamu ama ndio makasuku mliogundua kutumia internet juzi juzi? kabla hujacomment kwenye mitandao ya kiutu uzima uwe unafanya research ya kuendeleza upeo wa akili yako!Hawa madakatari wanatakiwa wauliwe, ni magaidi wanaocheza na roho na maumivu ya watu.
Hauwezi kabisa kila siku ukaja na malalamiko mapya ukae uchekewe tu. Nawaomba sana serikali isiwasikilize kabisa na iwape 2 hours wawepo kwenye kazi zao nje ya hapo, wachukuliwe hatua kali sana ikiwepo na kushtakiwa kwa kila kifo kitachotokea wakati wa mgomo, wakasote jela wakijibu kesi za mauaji.
Poleni sana. Nasikitika wenye dhamana na nafasi za maamuzi wamekosa busara ambayo ingetatua mgogoro uliopo..Nipo muhimbili,mama mkwe wangu amefariki,aliwekewa mashine ya oxgen usiku baada ya hapo dr hakuja tena,na mama ndo ametutangulia.migomo ina madhara,amefarik saa sita na nusu mchana huu.
shushushu mkubwa weee!! na ukome! nimetoka hospitali muhimbili muda sio mrefu, mgomo upo! nyangau weee!Dr Wangu wa Muhimbili anasima
"" mgomo hakuna watu wanaendelea na kazi kama kawaida vikao bado vinaendelea"" mwisho wa kunukuu
Sasa tumuamini Doctor wa wapi??? maaana mgomo hakuna:juggle:
...Hawa madakatari wanatakiwa wauliwe, ni magaidi wanaocheza na roho na maumivu ya watu...
Madaktari wetu wanatumiwa na vyama vya siasa, mgomo huu ni wa kisiasa zaidi kuliko masilahi. Madaktari hawana uwezo wa kupanga baraza la mawaziri, kazi yao ni kutibu. Inanisikitisha sana kuona madaktari wetu wanafanya upuuzi kama huu.
Na mbaya zaidi Waziri wa afya alishapeleka barua ya ku resign tatizo ni JK kampa kiburi
you are very right Mkuu, Nionavyo the problem hapa ni siasa na taaluma. siasa haina nafasi kwenye taaluma wakati huo huo taaluma in nafasi kwenye siasa '' Sirikali haitaki kukubali hili ''Sote tunajua madhara ya mgomo tarajiwa. Serikali yaweza kuepusha madhara kwa jamii pana zaidi kwa kuwaondoa/hamisha hao watu wawili. Hakuna haja ya serikali kukomaa inatakiwa i compromise kwenye hii issue