The Khoisan
Platinum Member
- Jun 5, 2007
- 18,207
- 17,359
Wewe unadhani kwamba unachokifanya sasa hivi ni sahihi kwa sababu ukiwa kama daktari, katika situation iliyopo sasahivi, ni kweli kwamba "umeshika mpini", on the other side, wagonjwa ndio "wameshika makali". Suppose ingekuwa wewe, pamoja na udaktari wako, uko wodini umelazwa, halafu wenzako wanakuja na msimamo kama huu mliokuwa nao sasa hivi, ungekuja hapa jf na statement gani?
Wewe akili yako vipi?? Hivi unafikiri hao madaktari wote ni wazima na hakuna wanaoumwa au waliolazwa mahospitalini?? Hivi unafikiri hao madaktari hawana baba, mama, watoto na ndugu wanaoumwa na wamelazwa?? Madaktari ni watu tu kama wewe na mimi.
Inaelekea wewe unafikiri madaktari siyo wananchi na pia hawana haki ya kudai maslahi yao kama raia wengine!! Kwa ujumla analysis au mawazo yako hayana mshiko kabisa!! Pole Mkuu!!!