Mgomo wa madaktari - Updates

Mgomo wa madaktari - Updates

Basi mimi nilijua huko shwari tu kwa sababu ya maridhiano na umoja wa kitaifa.
 
Taarifa zilizonifikia kutoka vyanzo vya kuaminiaka bugando wamebandika tangazo likisomeka hivi

"KUTOKANA NA SERIKALI KUTOKUWA TAYARI KUSHUGHULIKIA MADAI YA MADAKTARI IPASAVYO SISI MADAKTARI TUMESIKITISHWA SANA. KUANZIA LEO TAREHE 7 MACHI 2012 SAA 2; 00 ASUBUHI,MADAKTARI WA HOSPITALI YA BUGANDO TUNASITISHA KUTOA HUDUMA ZOTE MPAKA HAPO SERIKALI ITAKAPOSHUGHULIKIA MADAI HAYO.
JUMUIYA YA MADAKTARI BUGANDO (INTERN,REGISTRARS,RESIDENTS)
NAKALA KWA WAKUU WA IDARA,UTAWALA BMC"

MUHIMBILI
EMD-KITENGO CHA WAGONJWA WA DHARURA KIMEFUGWA

OPD-WAGONJWA WAMEJAA LAKINI HAWAONI

THETRE HAZIFANYI KAZI NA MASPECIALIST WAPO RUSSIAN CULTURE TO PUT LAST NAIL IN THE COFFIN. WAMEUNGANA NA WATAANZA MGOMO RASMI LEO.

AMANA
TOTAL TOOLS DOWN

MWANANYAMALA
TOTAL TOOLS DOWN EXCEPT 4 COs

TEMEKE
TOTAL TOOLS DOWN

MBEYA
WANAENDELEA PALE WALIPOISHI MAANA MGOMO KAMA KAWA

IFAKARA
TOTAL TOOLS DOWN

KCMC
MADAKTARI KUTOA TAMKO MUDA SI MREFU

Ikulu kuna mkutano mkubwa unaendelea nitato updates bdae
 
hahaa kazi ipo...yaani mpaka aina hamijei wamegoma..hahaa jk jiangalie sana unaweza kushangaaa unaanguka hivi hivi
 
Nilipokushauri ukatafute matusi mapya baada ya masaa manne 'makanjanja' is the best you can come up with?! Katafute mengine makubwa zaidi kisha urudi tena hapa...mpaka ufuke povu leo na dua zako za kuku!
Mkuu achana na mpaka wanja huyo, tuko pamoja na madaktari wetu regardless tunawagonjwa tunaoouguza.
 
Gomeni tu, gomeni tena msiache.
Acheni mama na dada zenu wakifa na vitoto vyao tumboni, acheni wadogo zenu waliopata ajali za bodaboda wakioza miguu. Acheni wajomba na babu zenu wakifa ICU kwa kukosa wa kuwahudumia. Acheni wadogo na wapwa zenu wakifa kwa pneumonia wodini,acheni baba zenu na wajomba zenu wakifa kwa kukosa huduma.
Gomeni tu, gomeni kabisa. Kama mmeamua kutoa maisha ya ndugu zenu kafara kwa ajili ya maslahi yenu ya Kisiasa sisi hatuna cha kufanya bali kukaa pembeni na kushudia mafahari wawili wakipambana.
Mungu ibariki Tanzania.
 
Huu mgomo ni batili kisheria. Serikali ina haki ya kuwashtaki au iwafukuze kazi wale watakaoendelea kukaidi rai ya kuwataka warudi kazini.

For Dr's info: ma-dr wa kutosha kutoa huduma za dharura wako stand-by toka nchi rafiki. Liwalo na liwe, watakuja kuokoa roho mnazotaka zipotee. In the meantime serikali inajipanga kushughulikia kiburi chenu na kuwarudisha kwenye saizi yenu halisi.

Kipindi hiki lazima jambo litafanyika, hata kama ni kwa gharama. Lazima kukomesha hii jeuri ya madaktari kuvunja katiba na kutaka kuingilia madaraka ya Rais ya kuteua wasaidizi wake.
unachemka
 
Gomeni bwana watakao kufa watatupa mzuka au moral ya kufanya maamuzi magumu
 
Kama Kikwete yupo smart katika fikira zake basi amfukuze Pinda kazi, maana Pinda alipomsimamisha kazi Blandina na Mtasiwa aliweka bayana kuwa swala la kuwajibishwa kwa Waziri na naibu wane amemuachia Rais, tokea wakafunika kikombe.

Inaonyesha kana kwamba Kikwete anamzuia Pinda katika kazi zake za kila siku au basi Pinda ndio anajaribu kuweka bayana uozo upo wapi katika matatizo yaliopo ndani ya Serikali! Au ndio tuseme Rais alikuwa hajapata taarifa kuwa tunamsubiri yeye kuwajibisha wazembe wawili hao?

Tunahitaji migomo mingi zaidi kila kona kama ikiwa hii serikali haiwezi kwenda mpaka ipigwe handling, kama RandRover za zamani.
 
Waziri unamuhusu nini? wakati maswala yao yote yana shughulikiwa? Serikali ikiendelea kuwasikiliza hawa makanjanja wanaojiita madaktari itakuwa haijawatendea haki watanzania. hawa madaktari Kikwete anawachekelea sana, ingekuwa mimi, saa hizi wananyea debe.

.
Mbona pale nyumbani kwako unachapwa makofi na mkeo? Unafikiri hatukufahamu?
Unakuja kujificha kwenye key board na kuanza kufundisha watu ubabe wakati mwenyewe ni fisi kwa jinsi ukivyo mwoga.
.
 
Taarifa zilizonifikia kutoka vyanzo vya kuaminiaka bugando wamebandika tangazo likisomeka hivi

"KUTOKANA NA SERIKALI KUTOKUWA TAYARI KUSHUGHULIKIA MADAI YA MADAKTARI IPASAVYO SISI MADAKTARI TUMESIKITISHWA SANA. KUANZIA LEO TAREHE 7 MACHI 2012 SAA 2; 00 ASUBUHI,MADAKTARI WA HOSPITALI YA BUGANDO TUNASITISHA KUTOA HUDUMA ZOTE MPAKA HAPO SERIKALI ITAKAPOSHUGHULIKIA MADAI HAYO.
JUMUIYA YA MADAKTARI BUGANDO (INTERN,REGISTRARS,RESIDENTS)
NAKALA KWA WAKUU WA IDARA,UTAWALA BMC"

MUHIMBILI
EMD-KITENGO CHA WAGONJWA WA DHARURA KIMEFUGWA

OPD-WAGONJWA WAMEJAA LAKINI HAWAONI

THETRE HAZIFANYI KAZI NA MASPECIALIST WAPO RUSSIAN CULTURE TO PUT LAST NAIL IN THE COFFIN. WAMEUNGANA NA WATAANZA MGOMO RASMI LEO.

AMANA
TOTAL TOOLS DOWN

TEMEKE
TOTAL TOOLS DOWN

MBEYA
WANAENDELEA PALE WALIPOISHI MAANA MGOMO KAMA KAWA

IFAKARA
TOTAL TOOLS DOWN

KCMC
MADAKTARI KUTOA TAMKO MUDA SI MREFU

Ikulu kuna mkutano mkubwa unaendelea nitato updates bdae
Hiki ndicho serikali yetu inachokitaka, sijutii kuzaliwa Tanzania lakini najiuliza kwanini Mungu anaruhusu viongozi kama hawa wachaguliwe nchini mwetu? is HE really fair?
 
Ni mpaka watu wangapi waangamie, ni roho ngapi zikipotea ndio itambulike kwamba Tanzania hali si shwari, Wenye link na CNN, ALJAZEERA, Na media kubwa duniani Tusaidieni kufikisha salamu hizi ili tupate global emergency relief ya madaktari..Serikali ya ccm haijali tena watanzania, uwaziri Hadji Mponda una thamani kubwa kuliko uhai wa watu wanaopotea kutokana na mgomo wa madaktari unaoendelea, Ni bahati mbaya sana kwamba kiti cha uongozi wa juu kabisa wa nchi 'kiko wazi' hakuna msaada zaidi ya sisi wenyewe kujitoa
 
Hawa madakatari wanatakiwa wauliwe, ni magaidi wanaocheza na roho na maumivu ya watu.

Hauwezi kabisa kila siku ukaja na malalamiko mapya ukae uchekewe tu. Nawaomba sana serikali isiwasikilize kabisa na iwape 2 hours wawepo kwenye kazi zao nje ya hapo, wachukuliwe hatua kali sana ikiwepo na kushtakiwa kwa kila kifo kitachotokea wakati wa mgomo, wakasote jela wakijibu kesi za mauaji.

Ebo!! Wauliwe tena halafu itakuwaje kuhusu wagonjwa??
 
CNN, Aljazeera, BBC nk hawana muda wa kuripoti upuuzi wa madaktari vilaza wa tz. They are aware kuwa Serikali si wa kulaumiwa, otherwise wangeshatia timu kitambo.
 
Nafikiri uishie hapo hapo kuwa taaluma ya udaktari ni nyeti. ukianza ulinganisho na taaluma zingine inakuwa ni matusi. Hata hivyo sio kila mtu anaweza kuwa mwalimu. Kumbuka bila ya walimu hakuna daktari wala RAIS wala WAZIRI. Katika hili tuheshimu taaluma za wengine. Hivi wewe usingefundishwa na walimu kukukazania kusoma na kuandika ungekuwa wapi. Haya walimu nanyi acheni kazi tuone mwisho wake.
 
CNN, ALJAZEERA, Na media kubwa duniani wanataka live demontration siyo hii ya kukaa kwenye keyboard
 
Ni mpaka watu wangapi waangamie, ni roho ngapi zikipotea ndio itambulike kwamba Tanzania hali si shwari, Wenye link na CNN, ALJAZEERA, Na media kubwa duniani Tusaidieni kufikisha salamu hizi ili tupate global emergency relief ya madaktari..Serikali ya ccm haijali tena watanzania, uwaziri Hadji Mponda una thamani kubwa kuliko uhai wa watu wanaopotea kutokana na mgomo wa madaktari unaoendelea, Ni bahati mbaya sana kwamba kiti cha uongozi wa juu kabisa wa nchi 'kiko wazi' hakuna msaada zaidi ya sisi wenyewe kujitoa

Hahaha Aljazeera wakuletee madaktari? unacheza wewe

Si mlikuwa mna support mgomo uanze haya sasa tuone kama atayeumia ni Nkya, Mponda, Kikwete na Pinda
 
Hawa madakatari wanatakiwa wauliwe, ni magaidi wanaocheza na roho na maumivu ya watu.

Hauwezi kabisa kila siku ukaja na malalamiko mapya ukae uchekewe tu. Nawaomba sana serikali isiwasikilize kabisa na iwape 2 hours wawepo kwenye kazi zao nje ya hapo, wachukuliwe hatua kali sana ikiwepo na kushtakiwa kwa kila kifo kitachotokea wakati wa mgomo, wakasote jela wakijibu kesi za mauaji.
Wewe ndio aina ya wananchi mbumbumbu wa kitanzania.ngoja nikuulize maswali haya tu.
1:Je?kwako wewe na Rais wako, ajira ya mponda ni bora kuliko maisha ya wananchi wengi watakaokufa kutokana na serikali kushindwa kumwajibisha waziri na naibu wake?
2:Hivi je? Kama mponda akiacha uwaziri ni nini serikali itakipoteza?
3:wewe kwa ujinga wako hata kama unanufaika na mfumo kwa sasa,je walio karibu yako unawafikiria?
Acha ujinga wa kuleta majibu ya kinafiki humuj,elewa kwamba Pinda aliahidi kuchukua hatua muhimu mojawapo jkiwa ni kuwawajibisha mawaziri husikasasa jana anaongea mambo tofauti na aliyoyasema hapo awali.
Pinda naye kwa sasa anastahili kuongezwa kwenye orodha ya wanaopaswa kujiuzulu kwa kutokuwa mkweli katika ahadi zake kama waziri mkuu mwenhe dhamana ya baraza la mawaziri.
 
Back
Top Bottom